Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Kuna hesabu umepiga hapa zimekaa ki utopolo utopolo tu. Kama Simba atacheza mechi 33 basi Yanga nayo watakua wamecheza idadi hiyo hiyo ya Mechi. HaHaiewezekaniimba awe amecheza mechi 33 wakati Yanga awe amemaliza mechi zake zote wakati Timu hizi zinapaswa kukutana.

Pili hata tukiamua kuwapa Yanga ushindi wa Mechi ile ambayo haikuchezwa ili lengo lao la kuikwepa Simba litimie (aibu), Simba haitegemei points hizo tu ndo iwe Bingwa. Mtaji wa Points ilizojikusanyia, na inazoendelea kujikusanyia unaifanya Simba iiache mbali sana Yanga kiasi cha kwamba ubingwa uko pale pale tu.

Nje ya mada mbona hutuletei ile mikeka yako ya premier bet bro tupige hela? Kuna behewa flan hivi ulikua ukitupia hatukosi kadhaa
Mkuu tatizo sio mechi za Yanga zilingane (33) bali ni uhalali wa Simba kukabidhiwa kombe kinyume cha sheria bila kukamilisha mechi zote 34 kama sheria inavyotaka. Mikeka nimesimama kwanza mkuu......naona vipigo vimezidi 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Umetumia muda mrefu kueleza impossible scenario. Yanga kuingiza timu tarehe 3 au kutoingiza timu hakufanyi Simba asitimize mechi 34. Mechi ikipangwa na mamlaka husika na na mojawapo ya timu isitokee, mbali na hatua nyinginezo, timu iliyofika inapewa ushindi wa alama za mezani kwa kufuata kanuni. Na inakuwa imejulikana kuwa 'mechi' hiyo imeamuliwa kwa kanuni
 
Ndio maana yake mkuu. Ili ushindi uwe VALID lazima mshindi acheze mechi zote; vinginevyo huo ushindi utakuwa BATILI. Kama TFF watarogwa wakatoa kombe kwa Simba (hata kama watakuwa na pointi nyingi), Yanga watawashikisha adabu ambayo hawatakuja kuisahau hapa duniani.
Kwenye ligi unaweza kutawazwa ubingwa kabla ya mechi hata kumi kama hakuna anayeweza kuzifikia.
 
Acha utabiri, ratiba ya julai 3 bado subiri kama matokeo yake yataamuliwa uwanjani au kikanuni
Nakukumbusha hata mechi zinazoamuliwa kikanuni zinajazwa kwenye mkeka wa ligi

Mwisho kabisa;Simba wanahitaji point 4 tu akabidhiwe kombe
 
Kwa hiyo yanga anataka pointi tatu ili awe bingwa? Na simba akikosa pointi tatu hawi bingwa?

Yote kwa yote Simba atakuwa bingwa.

Yanga wamefuata sheria katika mechi ya Simba tu, mbona za kati yao na Biashara na timu gani sijui muda uliahirishwa na Yanga alitii.
Wapenzi wa Yanga watambue uongozi unatafuta visababu tu kwa ujumla msimu huu hawakua vizuri kabisa na hawastahili ubingwa na hata nafasi ya pili ni bahati tu.

Imebadilisha kocha mara tatu , imelalamika weee too much, pale hamna mpira ni uhuni uhuni tu uwongo na upigaji wa pesa.
Come back na Mwadui na offside goals?

Kwakeli wapenzi na wanachama wa Yanga wawe serious wasi fuate maneno wadai timu ya mpira sio uongo uongo na ubabaishaji.
Timu ina wachezaji kama watatu tu bora wengine wote peleka ligi ya Somalia.
Kama kombe ni uhakika kwa simba hata akipoteza mchezo wa Yanga, basi washaulini TFF wampe ushindi Yanga ili kelele ziishe
 
Umetumia muda mrefu kueleza impossible scenario. Yanga kuingiza timu tarehe 3 au kutoingiza timu hakufanyi Simba asitimize mechi 34. Mechi ikipangwa na mamlaka husika na na mojawapo ya timu isitokee, mbali na hatua nyinginezo, timu iliyofika inapewa ushindi wa alama za mezani kwa kufuata kanuni. Na inakuwa imejulikana kuwa 'mechi' hiyo imeamuliwa kwa kanuni
Kanuni hizi mbona hazikutumika kuwapa Simba ushindi baada ya Yanga kuingia mitini????
 
Kanuni zinasema klabu isipopoleka timu kiwanjani inaadhibiwa lakini mpaka sasa Yanga hawajaadhibiwa whichi means walikuwa sahihi kutopeleka timu kiwanjani. Kwa mantiki hii, wao wanachukulia kwamba tayari wameishacheza huu mchezo kwa kuwa hawajapewa adhabu yoyote. Na hata wasipopeleka timu kiwanjani tarehe 3/7 hakutakuwa na shida yoyote kwa upande wao kwa kuwa TFF walivunja kanuni wao wenyewe.

Watakaopata athari chanya ni Yanga kwani wachezaji wao hawatapata usumbufu wa kuingia kiwanjani kucheza mpira.

Watakaopata athari hasi ni Simba kwa kunyimwa kombe kwa sababu ya kutocheza michezo yote 38 kwa mujibu wa sheria. Wengine ni washabiki waliolipa viingilio vyao lakini hawakutazama mchezo. Aidha TFF nao wataathirika kwa kufungiwa na FIFA. Pia mashabiki wa nchi hii watakosa kutazma uhondo wa VPL msimu ujao.
Yanga walipeleka timu uwanjani
 
Kanuni hizi mbona hazikutumika kuwapa Simba ushindi baada ya Yanga kuingia mitini????

Hazikutumika kwa kuwa Yanga walikuwa na 'kichaka' kizuri cha kujifichia.....ambapo kulikuwa na mkanganyiko wa muda wa mechi uliosababishwa na mamlaka husika. Kama unakumbuka timu zote ziliingia uwanjani ila muda tofauti. Tarehe 3 Julai habari itakuwa tofauti.
 
Mkuu tatizo sio mechi za Yanga zilingane (33) bali ni uhalali wa Simba kukabidhiwa kombe kinyume cha sheria bila kukamilisha mechi zote 34 kama sheria inavyotaka. Mikeka nimesimama kwanza mkuu......naona vipigo vimezidi 🤣 🤣 🤣 🤣
Simba akiwa hajafikisha hiyo 33 je na Yanga atakua nae hajafikisha? Ndo hiyo pending ya mechi 1 itabaki hivyo hivyo milele?

Itaamuliwa tu namna ingine.
 
Usomeni huu uzi kama wachambuzi na sio Mashabiki ama wapenzi wa timu na Taasisi tajwa.

Iwe Yanga wataingiza Timu uwanjani ama lah hiyo tar3, iwe wameshamalizana na wamekubaliana kulimaliza kwa kuurudia mchezo au vinginevyo... bado hili suala si lakulichukulia juu juu kama tuzoeavyo.

Jaribu kuyachambua haya.
Kwanini Simba haikupewa ushindi wa mechi ile na ilifika uwanjani muda wa mchezo, yanga hawakuonekana?

Kwanini Yanga haijapewa Adhabu kwa kutokuingiza timu uwanjani au kutoa timu uwanjani kabla ya mchezo kuanza?

Ni mikakati gani ya mchezo ujao iliyowekwa kufidia gharama za mechi kwa ujumla kuanzia mashabiki mpaka taasisi na makampuni. Na ni nani atapaswa kuzilipa yakitokea madai?

Achana na Yanga Ama Simba, akitokea hata mtaka sifa mmoja na mwenye uelewa mzuri wa masuala ya mpira wa miguu na sheria zake, hili suala linaweza kufikia aliwazalo mleta mada.



BADO TUNASAFARI NDEFU SANA KATIKA KUELEWANA
 
Usomeni huu uzi kama wachambuzi na sio Mashabiki ama wapenzi wa timu na Taasisi tajwa.

Iwe Yanga wataingiza Timu uwanjani ama lah hiyo tar3, iwe wameshamalizana na wamekubaliana kulimaliza kwa kuurudia mchezo au vinginevyo... bado hili suala si lakulichukulia juu juu kama tuzoeavyo.

Jaribu kuyachambua haya.
Kwanini Simba haikupewa ushindi wa mechi ile na ilifika uwanjani muda wa mchezo, yanga hawakuonekana?

Kwanini Yanga haijapewa Adhabu kwa kutokuingiza timu uwanjani au kutoa timu uwanjani kabla ya mchezo kuanza?

Ni mikakati gani ya mchezo ujao iliyowekwa kufidia gharama za mechi kwa ujumla kuanzia mashabiki mpaka taasisi na makampuni. Na ni nani atapaswa kuzilipa yakitokea madai?

Achana na Yanga Ama Simba, akitokea hata mtaka sifa mmoja na mwenye uelewa mzuri wa masuala ya mpira wa miguu na sheria zake, hili suala linaweza kufikia aliwazalo mleta mada.



BADO TUNASAFARI NDEFU SANA KATIKA KUELEWANA
Bodi ya Ligi walitangaza Mechi imefutwa na Itapangiwa tarehe Nyingine..

Nani angepewa hizo point za mchezo Uliosemekana Umefutwa..??
 
Kikubwa bi Pre March meeting ilifanyika asubuhi na kila timu ikawasilisha list ya wachezaji, na waamuzi wakatambushwa, kawaida ikifanyika pre March basi mchezo upo
Pre match meeting ilifanyika asubuhi. [emoji23][emoji23][emoji23] bangi bana.
 
Unaona ulivyo bwabwa ,embu soma tena ulichocomment alaf jipige kichwan sema mm ni shoga a.k.a bwabwa niliyejaza kinyesi kichwan badala ya ubongo
Poa tu mbona babako shoga tangu akiwa na miaka 16 na bado akamfukiza mamako ambae ni kahaba na ukazaliwa shoga mwingine kwenye familia!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nawaambia Yanga ni kubwa kuliko taasisi yoyote ya Michezo hapa nchini watu hawataki! na niliwahi sema ili kudhihirisha hilo Mwakalebela ataachiwa muda si mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom