Simba hatuna chetu msimu huu!

Simba hatuna chetu msimu huu!

macro

Senior Member
Joined
Feb 15, 2019
Posts
115
Reaction score
122
Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting

nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni

nikiwa na uhakika na hili jambo wewe kama unabisha sawa unitukane sawa lakini mwisho ya yote saa tatu jioni nitarudi kuthibitisha hili hapa jukwaani kwa kile ninacho enda kukisema saivi

IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.

2. Kuna tukio litatokea la ajabu uwanjani litaongelewa wiki nzima kuanzia kesho jumatatu kila kona ya nchi na kwenye vyombo mbali mbali vya habari

UPANDE WA SIMBA:

1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani

2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.

Mwisho! hata mimi ni mwanasimba lakin hizi taarifa zinaumiza

moderator: naomba msiunganishe huu uzi ili uwe reference pale baada ya mechi kutamatika kila mmoja aje Kuniprove wrong.
 
Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting

nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni

nikiwa na uhakika na hili jambo wewe kama unabisha sawa unitukane sawa lakini mwisho ya yote saa tatu jioni nitarudi kuthibitisha hili hapa jukwaani kwa kile ninacho enda kukisema saivi

IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.

2. Kuna tukio litatokea la ajabu uwanjani litaongelewa wiki nzima kuanzia kesho jumatatu kila kona ya nchi na kwenye vyombo mbali mbali vya habari

UPANDE WA SIMBA:

1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani

2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.

Mwisho! hata mimi ni mwanasimba lakin hizi taarifa zinaumiza

moderator: naomba msiunganishe huu uzi ili uwe reference pale baada ya mechi kutamatika kila mmoja aje Kuniprove wrong.
Kweli nyie majuha
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Kwa kikosi Cha Leo naungana na wewe Leo hatuna chetu
 
Back
Top Bottom