Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu
Me ni shabiki wa Team ya Simba Sc
Kuna kitu nakiona kwenye team yetu hasa idara ya kiungo mkabaji ambayo iko chini ya Wajina wangu JM
Ni wazi kwa sasa team inacheza kwa uwezo binafsi wa wachezaji na sio team play na kingine kama tutaendelea kujidanganya kwamba Mkude ndio kiungo bora wa kufanya kazi ya kukata umeme ni wazi tumepotea.
Mfano mdogo angalia mechi ya St George kipindi cha kwanza tulipotezwa kabisa kwa Kiungo ya Mkude na Kanoute na hao ndio tunawategemea eti wawe double pivot yetu msimu unaoanza.
Uongozi uliangalie hili suala la kiungo mkabaji mapema sana kabla hayajatukuta mabaya huko mbele.
Me ni shabiki wa Team ya Simba Sc
Kuna kitu nakiona kwenye team yetu hasa idara ya kiungo mkabaji ambayo iko chini ya Wajina wangu JM
Ni wazi kwa sasa team inacheza kwa uwezo binafsi wa wachezaji na sio team play na kingine kama tutaendelea kujidanganya kwamba Mkude ndio kiungo bora wa kufanya kazi ya kukata umeme ni wazi tumepotea.
Mfano mdogo angalia mechi ya St George kipindi cha kwanza tulipotezwa kabisa kwa Kiungo ya Mkude na Kanoute na hao ndio tunawategemea eti wawe double pivot yetu msimu unaoanza.
Uongozi uliangalie hili suala la kiungo mkabaji mapema sana kabla hayajatukuta mabaya huko mbele.