Wanasiasa gani wana sauti hapo Simba ?Tatizo la Simba Kama alivyosema baadhi ya wadau ni mwekezaji,uongozi na wanachama.
Wanachama kiasi kikubwa ni tatizo kwani wanaweza kufanya maamuzi Ila hawafanyi.
Pia Simba imeruhusu wanasiasa wawe na sauti Hilo ni tatizo kubwa kwao.
Msemaji wa YANGA hajaitolea maneno ya kifedhuli ( kunya ) Serikali.Kwani baada ya zile mechi za kwanza za Dar ambapo Simba alifungwa 1-0, msemaji wa Yanga alibaki na kauli za ki-solidarity?
Kwani huko FA bingwa ni nani msimu huu hadi mfanye hitimisho mlilofanya?Na huko FA kuna sare au tofauti ya point ngapi?
we ndugu yangu... huo ni mfumo tu.. Simba na Yanga hata waiilopokee vipi serikali..huwezi kusema wamejinyea... Yanga inafurahia huu mfumo wa mama Samia.. Simba utafurahia mfumo wa raisi mwingine ajaye... matusi na dharau anazopewa Simba sasahivi.. alisha pewa sana Yanga misimu minne ya nyuma ambayo Simba alichukua back to back.. ko hii ni kawaida tu... hukumbuki kipindi cha JK Yanga walitwaa sana... Simba wakatwaa kwa Magu.. leo hii Yanga wanataka na Samia... ko tulieni tu mkuu mizani akili kuhisi ana na timu hizi mnaweza kuehuka pasipo sababu...Simba imeshajinyea huo upendeleo hawatakaa waupate tena wasiporekebisha makosa yao.
Kile kitendo cha semaji lao kuishutumu Serikali kuhusu ile safari ya South Africa ya Wana YANGA na viongozi wa timu kutokujiweka kando na kauli ile hata kinafiki tu, na pia kufurahia waziwazi kuondolewa kimizengwe timu ya YANGA kumeonekana kama ni kwenda kinyume na msimamo wa Serikali, na kujishushia hadhi kwa Serikali.
Wasubiri 2024/2025 wakacheze ligi moja na WanaTP Lindanda au Pan Africa na mwaka unaofuata Ndanda.
Wajitahidi watengeneze timu ya ushindani na viongozi wanaojielewa ndio dawa pekee itakayo waokoa.
Sometimes uchawa unalipa.
Funika kombe mwanaharamu apite.
Hakuna ninachosapoti. Kwa taarifa yako sijaangalia mechi ya Simba ya mashindano ya ndani toka yaishe Mapinduzi Cup. Hayo unayosema mimi nimeshayasema saaana tu.Subiri siku utapigwa goli 9 ndio utajua huo uhuni mnaousapoti ninyi mashabiki wa Dar
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo msemaji wa Yanga kutoa kauli za kejeli dhidi ya Simba baada ya kufungwa na Al Ahly haitofautiani na kauli na msisitizo wa serikali kuwa kuwe na umoja?Msemaji wa YANGA hajaitolea maneno ya kifedhuli ( kunya ) Serikali.
YANGA hata wasiporidhishwa na maamuzi ya Serikali hawana kiburi.
Rejea swala la Fei Toto au Manji kukataliwa kurudi kwenye Uenyekiti wa Klabu baada ya kujiuzulu wakati Lipumba aliruhusiwa kurudi kwenye Uenyekiti wa CUF katika mazingira yanayofanana.
Unajua try again anasimamoa biashara za nani?Wanasiasa gani wana sauti hapo Simba ?
Hawa madogo taabu kwelikweli. Hebu tuondolee ushamba wako hapa.Ni kama mzaha mzaha lakini ninaiona timu hii ikiwa chini sana na ikibaki premier ni kwa sababu za kisiasa tu ili utani wa yanga na simba usife.
Sote tuliona jinsi African Lyon ilivyokufa na mmiliki ni huyu huyu mbwia unga.
Kibaya zaidi tuna wanachama wajinga sana pale Dar ambao ndio wapiga kura.
Hapo ndipo ubaya wa demokrasia tunauona.Wapiga kura wasipokuwa bora,tutapata viongozi wasio bora,wengi wakiwa wahuni tutapata viongozi wahuni.
Kwa sasa ni kama hakuna dawa ya hili.
Tutaendelea na huyu mo na genge lake la viongozi wakituchezea akili huku wakiwa na nia ya kujimilikisha timu 100%
Hapa asipoingilia mtu mkubwa kama rais, simba ndio imekwisha hii
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Simba imeshajinyea huo upendeleo hawatakaa waupate tena wasiporekebisha makosa yao.
Kile kitendo cha semaji lao kuishutumu Serikali kuhusu ile safari ya South Africa ya Wana YANGA na viongozi wa timu kutokujiweka kando na kauli ile hata kinafiki tu, na pia kufurahia waziwazi kuondolewa kimizengwe timu ya YANGA kumeonekana kama ni kwenda kinyume na msimamo wa Serikali, na kujishushia hadhi kwa Serikali.
Wasubiri 2024/2025 wakacheze ligi moja na WanaTP Lindanda au Pan Africa na mwaka unaofuata Ndanda.
Wajitahidi watengeneze timu ya ushindani na viongozi wanaojielewa ndio dawa pekee itakayo waokoa.
Sometimes uchawa unalipa.
Funika kombe mwanaharamu apiuongo
Huna hoja nyamaza!Hawa madogo taabu kwelikweli. Hebu tuondolee ushamba wako hapa.
Kipindi cha nyuma huko Simba inapokua na migogoro hua haiathiri sana performance uwanjani kwa sababu wachezaji walikua hawajiingizi kwenye hiyo migogoro tofauti na Yanga.SIMBA SC mbona iko njema tu wakuu sio kama mnavyotaka kuaminisha umma halafu ni kawaida tu team kudhoofu na sio mara ya kwanza kwa mnyama kuwa hv
Ni swala la muda tu team itakuwa imara
Dogo acha kisirani, mlaumu aliyekutuma uandike pumba hapa.Huna hoja nyamaza!
Sibishani na wake za watu mimi
AaaahaaaaMkishimda: ooh sisi tuko level za kina Al ahly , sisi watano kwa ubora Africa
Mkifungwa: hatumtaki mangungu,mo tapeli 😂😂
Mkuu endelea na kuipondea yanga.Ni kama mzaha mzaha lakini ninaiona timu hii ikiwa chini sana na ikibaki premier ni kwa sababu za kisiasa tu ili utani wa yanga na simba usife.
Sote tuliona jinsi African Lyon ilivyokufa na mmiliki ni huyu huyu mbwia unga.
Kibaya zaidi tuna wanachama wajinga sana pale Dar ambao ndio wapiga kura.
Hapo ndipo ubaya wa demokrasia tunauona.Wapiga kura wasipokuwa bora,tutapata viongozi wasio bora,wengi wakiwa wahuni tutapata viongozi wahuni.
Kwa sasa ni kama hakuna dawa ya hili.
Tutaendelea na huyu mo na genge lake la viongozi wakituchezea akili huku wakiwa na nia ya kujimilikisha timu 100%
Hapa asipoingilia mtu mkubwa kama rais, simba ndio imekwisha hii
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app