Simba hii inakufa kama zilivyokufa African Lyon

Simba hii inakufa kama zilivyokufa African Lyon

Tatizo la Simba Kama alivyosema baadhi ya wadau ni mwekezaji,uongozi na wanachama.
Wanachama kiasi kikubwa ni tatizo kwani wanaweza kufanya maamuzi Ila hawafanyi.
Pia Simba imeruhusu wanasiasa wawe na sauti Hilo ni tatizo kubwa kwao.
Wanasiasa gani wana sauti hapo Simba ?
 
Kwani baada ya zile mechi za kwanza za Dar ambapo Simba alifungwa 1-0, msemaji wa Yanga alibaki na kauli za ki-solidarity?
Msemaji wa YANGA hajaitolea maneno ya kifedhuli ( kunya ) Serikali.
YANGA hata wasiporidhishwa na maamuzi ya Serikali hawana kiburi.
Rejea swala la Fei Toto au Manji kukataliwa kurudi kwenye Uenyekiti wa Klabu baada ya kujiuzulu wakati Lipumba aliruhusiwa kurudi kwenye Uenyekiti wa CUF katika mazingira yanayofanana.
 
Simba imeshajinyea huo upendeleo hawatakaa waupate tena wasiporekebisha makosa yao.
Kile kitendo cha semaji lao kuishutumu Serikali kuhusu ile safari ya South Africa ya Wana YANGA na viongozi wa timu kutokujiweka kando na kauli ile hata kinafiki tu, na pia kufurahia waziwazi kuondolewa kimizengwe timu ya YANGA kumeonekana kama ni kwenda kinyume na msimamo wa Serikali, na kujishushia hadhi kwa Serikali.
Wasubiri 2024/2025 wakacheze ligi moja na WanaTP Lindanda au Pan Africa na mwaka unaofuata Ndanda.
Wajitahidi watengeneze timu ya ushindani na viongozi wanaojielewa ndio dawa pekee itakayo waokoa.
Sometimes uchawa unalipa.
Funika kombe mwanaharamu apite.
we ndugu yangu... huo ni mfumo tu.. Simba na Yanga hata waiilopokee vipi serikali..huwezi kusema wamejinyea... Yanga inafurahia huu mfumo wa mama Samia.. Simba utafurahia mfumo wa raisi mwingine ajaye... matusi na dharau anazopewa Simba sasahivi.. alisha pewa sana Yanga misimu minne ya nyuma ambayo Simba alichukua back to back.. ko hii ni kawaida tu... hukumbuki kipindi cha JK Yanga walitwaa sana... Simba wakatwaa kwa Magu.. leo hii Yanga wanataka na Samia... ko tulieni tu mkuu mizani akili kuhisi ana na timu hizi mnaweza kuehuka pasipo sababu...
 
Subiri siku utapigwa goli 9 ndio utajua huo uhuni mnaousapoti ninyi mashabiki wa Dar

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hakuna ninachosapoti. Kwa taarifa yako sijaangalia mechi ya Simba ya mashindano ya ndani toka yaishe Mapinduzi Cup. Hayo unayosema mimi nimeshayasema saaana tu.

Point yangu mnapoingia mkenge kuongea lugha moja ya upande wa pili kuiongelea Simba yenu kuweni makini pia.
 
Msemaji wa YANGA hajaitolea maneno ya kifedhuli ( kunya ) Serikali.
YANGA hata wasiporidhishwa na maamuzi ya Serikali hawana kiburi.
Rejea swala la Fei Toto au Manji kukataliwa kurudi kwenye Uenyekiti wa Klabu baada ya kujiuzulu wakati Lipumba aliruhusiwa kurudi kwenye Uenyekiti wa CUF katika mazingira yanayofanana.
Kwa hiyo msemaji wa Yanga kutoa kauli za kejeli dhidi ya Simba baada ya kufungwa na Al Ahly haitofautiani na kauli na msisitizo wa serikali kuwa kuwe na umoja?

Yanga hawawezi kuwa na kiburi na serikali kwa sababu Yanga ni taasisi ya CCM, muambiwe mara ngapi ili muelewe? Ndiyo maana wengine tunashangaa mtu wa serikali kutoka kukemea klabu ya Tanzania kusapoti timu za nje zinapokuja hapa wakati hao kina Hersi hawakuwahi kuwajibishwa na vikao vya chama.
 
Wanasiasa gani wana sauti hapo Simba ?
Unajua try again anasimamoa biashara za nani?
Mangungu kawekwa na nani?
Vunja Bei aliwekwa na nani?
Kwanini mo katika wajumbe wa bodi lazima aweke wanasiasa.
Uliuliza watu ndani ya Simba watakwambia na hao wanasiasa ndio waliilazimisha tume ya ushindani kupitisha mchakato pamoja na kujua una walakini.
 
Ni kama mzaha mzaha lakini ninaiona timu hii ikiwa chini sana na ikibaki premier ni kwa sababu za kisiasa tu ili utani wa yanga na simba usife.

Sote tuliona jinsi African Lyon ilivyokufa na mmiliki ni huyu huyu mbwia unga.
Kibaya zaidi tuna wanachama wajinga sana pale Dar ambao ndio wapiga kura.
Hapo ndipo ubaya wa demokrasia tunauona.Wapiga kura wasipokuwa bora,tutapata viongozi wasio bora,wengi wakiwa wahuni tutapata viongozi wahuni.

Kwa sasa ni kama hakuna dawa ya hili.
Tutaendelea na huyu mo na genge lake la viongozi wakituchezea akili huku wakiwa na nia ya kujimilikisha timu 100%
Hapa asipoingilia mtu mkubwa kama rais, simba ndio imekwisha hii


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hawa madogo taabu kwelikweli. Hebu tuondolee ushamba wako hapa.
 
a
Simba imeshajinyea huo upendeleo hawatakaa waupate tena wasiporekebisha makosa yao.
Kile kitendo cha semaji lao kuishutumu Serikali kuhusu ile safari ya South Africa ya Wana YANGA na viongozi wa timu kutokujiweka kando na kauli ile hata kinafiki tu, na pia kufurahia waziwazi kuondolewa kimizengwe timu ya YANGA kumeonekana kama ni kwenda kinyume na msimamo wa Serikali, na kujishushia hadhi kwa Serikali.
Wasubiri 2024/2025 wakacheze ligi moja na WanaTP Lindanda au Pan Africa na mwaka unaofuata Ndanda.
Wajitahidi watengeneze timu ya ushindani na viongozi wanaojielewa ndio dawa pekee itakayo waokoa.
Sometimes uchawa unalipa.
Funika kombe mwanaharamu apiuongo
 
Hii timu ifungiwe ije timu ingine inatuaibisha na huyo mayele boya hivi kashaanza kazi ya kutetema maana hapo nikutetema tu hana inshu ingine
 
SIMBA SC mbona iko njema tu wakuu sio kama mnavyotaka kuaminisha umma halafu ni kawaida tu team kudhoofu na sio mara ya kwanza kwa mnyama kuwa hv

Ni swala la muda tu team itakuwa imara
 
SIMBA SC mbona iko njema tu wakuu sio kama mnavyotaka kuaminisha umma halafu ni kawaida tu team kudhoofu na sio mara ya kwanza kwa mnyama kuwa hv

Ni swala la muda tu team itakuwa imara
Kipindi cha nyuma huko Simba inapokua na migogoro hua haiathiri sana performance uwanjani kwa sababu wachezaji walikua hawajiingizi kwenye hiyo migogoro tofauti na Yanga.
Lakini kipindi hiki unahisi hasa wachezaji nao wanachagua upande. Ni hatari kubwa hii.
Muombeni KARIA aisogeze mbele mechi ya tarehe 20/4 vinginevyo mazao ya hiyo mechi ni kukosa hata nafasi ya 4.
NI MTAZAMO TU.
 
Ni kama mzaha mzaha lakini ninaiona timu hii ikiwa chini sana na ikibaki premier ni kwa sababu za kisiasa tu ili utani wa yanga na simba usife.

Sote tuliona jinsi African Lyon ilivyokufa na mmiliki ni huyu huyu mbwia unga.
Kibaya zaidi tuna wanachama wajinga sana pale Dar ambao ndio wapiga kura.
Hapo ndipo ubaya wa demokrasia tunauona.Wapiga kura wasipokuwa bora,tutapata viongozi wasio bora,wengi wakiwa wahuni tutapata viongozi wahuni.

Kwa sasa ni kama hakuna dawa ya hili.
Tutaendelea na huyu mo na genge lake la viongozi wakituchezea akili huku wakiwa na nia ya kujimilikisha timu 100%
Hapa asipoingilia mtu mkubwa kama rais, simba ndio imekwisha hii


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mkuu endelea na kuipondea yanga.
 
Back
Top Bottom