Ni kama mzaha mzaha lakini ninaiona timu hii ikiwa chini sana na ikibaki premier ni kwa sababu za kisiasa tu ili utani wa yanga na simba usife.
Sote tuliona jinsi African Lyon ilivyokufa na mmiliki ni huyu huyu mbwia unga.
Kibaya zaidi tuna wanachama wajinga sana pale Dar ambao ndio wapiga kura.
Hapo ndipo ubaya wa demokrasia tunauona.Wapiga kura wasipokuwa bora,tutapata viongozi wasio bora,wengi wakiwa wahuni tutapata viongozi wahuni.
Kwa sasa ni kama hakuna dawa ya hili.
Tutaendelea na huyu mo na genge lake la viongozi wakituchezea akili huku wakiwa na nia ya kujimilikisha timu 100%
Hapa asipoingilia mtu mkubwa kama rais, simba ndio imekwisha hii
Sent from my Infinix X626 using
JamiiForums mobile app