Simba hii ndiyo mbinu pekee itakayowapa ushindi kesho inje ya hapo mtapigwa vibaya (uchawi wa vipers huu hapa)

Simba hii ndiyo mbinu pekee itakayowapa ushindi kesho inje ya hapo mtapigwa vibaya (uchawi wa vipers huu hapa)

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kesho timu ya Simba itashuka dimbani na Vipers sc ya Uganda!

Hii mechi kwa simba ni ngumu endapo wakikurupuka lakini ni nyepesi mno wakifuata haya!

Viper wataumiliki sana mpira dakika za Awali kuanzia mwanzoni hadi dakika ya 18 ya mchezo!

Kutokana na hili SIMBA Waanze na mbinu ya kujilinda/kujihami Defensive na wajitahidi sana.

Pia Michezo ya faulo au chenga chenga katika eneo lao la ulinzi waziepuke hasa katika kipindi cha awali cha mchezo (dakika ya 1~18)

Vipers watakuwa na nguvu hasa pasi za chini chini itakuwa rahisi sana kwao kupokonya mipira,

HIVYO Simba kwa dakika hizo za awali dakika ya 1~18 SIMBA wacheze DEFENSIVE BALL na waepuke kabisa mipira ya chini, Simba wacheze mpira wa juu, juu.
Mipira ya juu, kichwa au kurushwa itawasumbua sana VIPERS!

Wasababu Uchawi walioutega VIPER'S ni uchawi wa Umande! Hivyo nguvu yao itakuwa chinichini tu! Sasa nawashauri SIMBA wasithubutu kucheza mipira ya chini chini kwa dakika za awali (1~18).

BAADA YA HAPO ITAKUWAJE

Baada ya dakika 18 kupita uchawi wa Umande (utakauka) VIPERS! Watapaniki!

Kipindi hiki kuanzia dakika 18~45 simba sasa wanaweza kuanza mashambulizi ya kushitukiza (double straika) lakini walinzi wa simba waendelee kuepuka kufanya chenga katika eneo lao hasa robo ya uwanja kutoka lango lao!

Kipindi cha pili SIMBA boli litembee (wanaweza kushusha mpira chini wacheze kama kawaida maana Uchawi wa Umande waliouandaa VIPERS utakuwa umekwisha) SIMBA mpira wataumiliki na kuutawala mchezo kipindi cha pili, Hata manadiliko (Substitute) Simba inaweza kufanya kipindi cha pili kutoka DEFENSIVE kwenda kuongeza nguvu katikati na sehemu ya ushambuliaji zaidi!

Nawaasa Washambuliaji wa simba wasipaniki hasa wakiwa kwenye harakati za kufunga, wasinyimane pasi maana lango la ushindi litakuwa mikononi mwao! Kipindi chote cha pili!

Zingatio: Hayo yote yatawezekana wanachotakiwa kukizingatia wasikubali kufungwa goli la mapema hasa dakika ya 1~18! Wakifaulu hilo SIMBA watarudi na ushindi

LAKINI kama SIMBA wataingia kwenye mchezo wa VIPERS watake kulitembeza boli mapema, watafungwa vibaya mno!

Narudia tena dakika 1~18 ni kiama kwa simba wazingatie kujilinda zaidi, kutoa mipira inje, wacheze mipira ya juu kwa wingi, wapoteze muda n.k hadi hizo dakika ziishe!

Nimeandika haya mapema kabisa Leo ijumaa kabla ya mechi ya simba Kesho!

Mkifanya kinyume na haya mtapigwa kipigo cha mbwa koko! Mkikubali goli la mapema halichomoi hata mkipewa penalty mtakosa tu!

Lakini msipofungwa dakika za awali basi mtawafunga wao!
 
Mh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante mtaalam, uwe unatoa utaalam kama huu kwa timu zetu zinazoendelea na michezo hii.
 
Solution ya Simba kutokufungwa kesho ni Moja tu usiwadanganye wenzako. Solution ni moja tu kutokwenda uwanjani

Wajibakilie hotelini tu waangalie mechi yao kwenye TV inavyoghairishwa
 
Kesho timu ya Simba itashuka dimbani na Vipers sc ya Uganda!

Hii mechi kwa simba ni ngumu wakikurupuka lakini ni nyepesi wakifuata haya!

Viper wataumiliki sana mpira dakika za Awali kuanzia mwanzoni hadi dakika ya 18 ya mchezo!

Kutokana na hili SIMBA Waanze na mbinu ya kujilinda/kujihami Defensive na wajitahidi sana.

Michezo ya faulo au chenga chenga katika eneo lao la ulinzi waziepuke hasa katika kipindi cha awali cha mchezo (dakika ya 1~18)

Vipers watakuwa na nguvu hasa pasi za chini chini itakuwa rahisi kwako kupokonya mipira, HIVYO kwa dakika hizo za awali dakika ya 1~18 SIMBA wacheze DEFENSIVE BALL na waepuke mipira ya chini, wacheze mpira wa juu, juu !

Mipira ya juu, kichwa au kurushwa itawasumbua sana VIPERS!

Uchawi walioutega VIPER'S ni uchawi wa Umande! Hivyo nguvu yao itakuwa chinichini tu! Sasa nawashauri SIMBA wasithubutu kucheza mipira ya chini chini kwa dakika za awali (1~18).

BAADA YA HAPO ITAKUWAJE

Baada ya dakika 18 kupita uchawi wa Umande (utakauka) VIPERS! Watapaniki!

Kipindi hiki kuanzia dakika 18~45 simba sasa wanaweza kuanza mashambulizi ya kushitukiza (double straika) lakini walinzi wa simba waendelee kuepuka kufanya chenga katika eneo lao hasa robo ya uwanja kutoka lango lao!

Kipindi cha pili SIMBA boli litembee (wanaweza kushusha mpira chini wacheze kama kawaida maana Uchawi wa Umande waliouandaa VIPERS utakuwa umekwisha) SIMBA mpira wataumiliki na kuutawala mchezo kipindi cha pili, Hata manadiliko (Substitute) Simba inaweza kufanya kipindi cha pili kutoka DEFENSIVE kwenda kuongeza nguvu katikati na sehemu ya ushambuliaji zaidi!

Nawaasa Washambuliaji wa simba wasipaniki hasa wakiwa kwenye harakati za kufunga, wasinyimane pasi maana lango la ushindi litakuwa mikononi mwao! Kipindi chote cha pili!

Zingatio: Hayo yote yatawezekana wanachotakiwa kukizingatia wasikubali kufungwa goli la mapema hasa dakika ya 1~18! Wakifaulu hilo SIMBA watarudi na ushindi

LAKINI kama SIMBA wataingia kwenye mchezo wa VIPERS watake kulitembeza boli mapema, watafungwa vibaya mno!

Narudia tena dakika 1~18 ni kiama kwa simba wazingatie kujilinda zaidi, kutoa mipira inje, wacheze mipira ya juu kwa wingi, wapoteze muda n.k hadi hizo dakika ziishe!

Nimeandika haya mapema kabisa Leo ijumaa kabla ya mechi ya simba Kesho!

Mkifanya kinyume na haya mtapigwa kipigo cha mbwa koko! Mkikubali goli la mapema halichomoi hata mkipewa penalty mtakosa tu!

Lakini msipofungwa dakika za awali basi mtawafunga wao!
Hii kali
 
Solution ya Simba kutokufungwa kesho ni Mona tu usiwadanganye wenzako. Solution ni moja tu kutokwenda uwanjani
Gemu iko wazi masaa ya ushindi yapo wajue tu kuyatumia
 
Ila alitahadharisha aliwataka simba watafute goli mapema km hivi hivi. ..1-18, ila simba walizingua ndio wakapigwa wao
Kesho napo nimeshawatahadhalisha! Kwamba wakiruhusu goli la mapema wakaze kuzuia hadi huo muda upite then ndo wapambane huko mbele game iko free kabisa!
Ugumu wa mechi ya simba Kesho umefichwa kwende dakika za kwanza kipindi cha kwanza!
Wawe makini sana kuzuia!
 
Sasa kwani waliacha makusudi mkuu, hata wao walipenda wapate goli dakika ya kwanza, tatizo uwezo!
Mtu akikupa tahadhali izingatie!
Masharti huwa ndo mtego wa kupata au kukosa!
Wazingatie utaratibu nakwambia 100 gemu nyeupe!
Kuna siku nitakuja kufundisha humu namna ya kutumia siraha za adui kukupa ushindi!

Simba kama watarogwa kushambulia mapema badala ya kujilinda watalia vibaya mno!
 
Back
Top Bottom