Simba hizo rank za CAF hazina uhalisia wa timu kwa sasa, viongozi wanazitumia kuwapumbaza

Simba hizo rank za CAF hazina uhalisia wa timu kwa sasa, viongozi wanazitumia kuwapumbaza

Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu

Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.

Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..

Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Sasahivi imeshuka ni nafasi ya 7.
 
Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu

Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.

Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..

Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
WANAWAKE MNA WIVU... ANYWAY TUWAACHIE SIMBA YAO.
 
Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu

Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.

Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..

Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Badala ya kuwalaumu Simba, uwalaumu CAF wanaozitoa, ambayo ndio mwanachama wa FIFA, ambayo ndio Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, mpira ambao unaulalamikia takwimu zake
 
Badala ya kuwalaumu Simba, uwalaumu CAF wanaozitoa, ambayo ndio mwanachama wa FIFA, ambayo ndio Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, mpira ambao unaulalamikia takwimu zake
Umeliona striker lenu lenye goal 1
Mbumbumbu hizo rankings hazihusiani na uhalisia wa Sasa ni za kipindi kile team ina akina Mugalu, kahata, bwalya
 
Mwenye, Africa club ranking atuwekee hapa tuone kama ni kweli. Maana aliyeanzisha uzi amegoma kuweka.
 
Yikpe alikuja na rekodi kali hadi akagoma kufanyiwa majaribio. Wapi Mamadou Doumbia, wapi mchezaji wa Newcastle ya EPL, wapi Skudu Makudubela na Carlinhos 😂😂😂
Hasidi huwa hakosi sababu. Kunya anye kuku akinya BATA kaharisha.
Hakuna timu inayopenda kusajili Bomu ni pata potea. Bora umewakumbusha.
 
Si tulikuwa tunaenda wote CAFCL??

Haya na we Utopolo kuwa wa kwanza basi ulizike.

NASISITIZA, Maumivu yakizidi Muone Daktari
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom