Simba hizo rank za CAF hazina uhalisia wa timu kwa sasa, viongozi wanazitumia kuwapumbaza

Simba hizo rank za CAF hazina uhalisia wa timu kwa sasa, viongozi wanazitumia kuwapumbaza

Umeliona striker lenu lenye goal 1
Mbumbumbu hizo rankings hazihusiani na uhalisia wa Sasa ni za kipindi kile team ina akina Mugalu, kahata, bwalya
Kwani mwaka jana Simba ilipofika robo fainali akina Mugalu, Kahata na Bwalya walikuwepo? utopolo nao waliishia hatua gani?
 
Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu

Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.

Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..

Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Mngechukua kombe la Shirikisho SASA hivi mngekuwa kwenye ' single digit'.
 
Viongozi wa simba hawajatoa rank yoyote huko CAF halafu kipindi cha kina hao wakina miqson simba ilifika hatua gani club bingwa na msimu uliopita bila hao wakina miqueson simba imeishia hatua gani
 
Viongozi wa simba hawajatoa rank yoyote huko CAF halafu kipindi cha kina hao wakina miqson simba ilifika hatua gani club bingwa na msimu uliopita bila hao wakina miqueson simba imeishia hatua gani
Kwaiyo basi Simba ni team nzuri lakini unakula 5
 
Simba ni mbovu ila anayeumia ni wewe,tutakuinamisha mwaka huu
 
Kama CAF wameshindwa kufanya wenye point nyingi wapate nafasi ya kucheza klabu bingwa badala ya kombe la shirikisho basi hizo rank hazina maana. Yaani timu inashika nafasi ya 7 lakini haruhusiwi kucheza klabu bingwa kama hajafuzu ligi kuu, ni rank isiyo na msaada
 
Kama CAF wameshindwa kufanya wenye point nyingi wapate nafasi ya kucheza klabu bingwa badala ya kombe la shirikisho basi hizo rank hazina maana. Yaani timu inashika nafasi ya 7 lakini haruhusiwi kucheza klabu bingwa kama hajafuzu ligi kuu, ni rank isiyo na msaada
Mbumbumbu kila siku wanashangilia hizo rankings
 
Back
Top Bottom