Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwaka jana Simba ilipofika robo fainali akina Mugalu, Kahata na Bwalya walikuwepo? utopolo nao waliishia hatua gani?Umeliona striker lenu lenye goal 1
Mbumbumbu hizo rankings hazihusiani na uhalisia wa Sasa ni za kipindi kile team ina akina Mugalu, kahata, bwalya
Mngechukua kombe la Shirikisho SASA hivi mngekuwa kwenye ' single digit'.Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu
Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.
Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..
Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Kwaiyo basi Simba ni team nzuri lakini unakula 5Viongozi wa simba hawajatoa rank yoyote huko CAF halafu kipindi cha kina hao wakina miqson simba ilifika hatua gani club bingwa na msimu uliopita bila hao wakina miqueson simba imeishia hatua gani
Simba ilipowapiga 6 je? Unaongea kama umekumbatiwa vileKwaiyo basi Simba ni team nzuri lakini unakula 5
Yap hata madrid aliwahinkula mkono na barca,brazil alikula wiki na argentinaKwaiyo basi Simba ni team nzuri lakini unakula 5
Mbumbumbu kila siku wanashangilia hizo rankingsKama CAF wameshindwa kufanya wenye point nyingi wapate nafasi ya kucheza klabu bingwa badala ya kombe la shirikisho basi hizo rank hazina maana. Yaani timu inashika nafasi ya 7 lakini haruhusiwi kucheza klabu bingwa kama hajafuzu ligi kuu, ni rank isiyo na msaada
Uliwahi kuwasifu kipindi hicho?Acha unafiki.Umeliona striker lenu lenye goal 1
Mbumbumbu hizo rankings hazihusiani na uhalisia wa Sasa ni za kipindi kile team ina akina Mugalu, kahata, bwalya
Hawajui kwamba mwakani zitabadilikaMbumbumbu kila siku wanashangilia hizo rankings
Hata hivyo hawasituki,(there are rigid) in other words can not be shapedUsiwastuwe hao mbumbumbu
Yanga oia amepigwa sana hizo tano tanoKwaiyo basi Simba ni team nzuri lakini unakula 5
Zinawasaidia nini sasaKwahiyo viongozi wa Simba ndio wanaozitoa hizo ranking