Sasahivi imeshuka ni nafasi ya 7.Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu
Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa π
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.
Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..
Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
WANAWAKE MNA WIVU... ANYWAY TUWAACHIE SIMBA YAO.Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu
Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa π
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.
Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..
Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Badala ya kuwalaumu Simba, uwalaumu CAF wanaozitoa, ambayo ndio mwanachama wa FIFA, ambayo ndio Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, mpira ambao unaulalamikia takwimu zakeHii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu
Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa π
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.
Tofauti kati ya Simba na pamba jiji ni nafasi tu lakini kwa ubora wa kikosi hamna tofauti kubwa..
Uongozi umeshawasoma mashabiki wao baada ya kukosa ngao ya jamii wameamua kuleta Striker kutuliza mpasuko kwa mashabiki..
Umeliona striker lenu lenye goal 1Badala ya kuwalaumu Simba, uwalaumu CAF wanaozitoa, ambayo ndio mwanachama wa FIFA, ambayo ndio Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, mpira ambao unaulalamikia takwimu zake
Yikpe alikuja na rekodi kali hadi akagoma kufanyiwa majaribio. Wapi Mamadou Doumbia, wapi mchezaji wa Newcastle ya EPL, wapi Skudu Makudubela na Carlinhos πππ.... rankings hazihusiani na uhalisia wa Sasa ni za kipindi kile team ina akina Mugalu, kahata, bwalya
Huko Ndiko Yanga ilikopandia ilipofika Fainali.Simba ipo shirikisho
Hasidi huwa hakosi sababu. Kunya anye kuku akinya BATA kaharisha.Yikpe alikuja na rekodi kali hadi akagoma kufanyiwa majaribio. Wapi Mamadou Doumbia, wapi mchezaji wa Newcastle ya EPL, wapi Skudu Makudubela na Carlinhos πππ
Zimewafanya mpande rank pamoja na kuweka mabango??
HEWAMbumbumbu acha kulia