Simba ifanyeje kuwauaa FC PLATINUM

Formation yako ya 4-4-2 ni ya zamani sana.
 
Safari hii waingize mapaka mawili au matatu uwanjani siyo moja kama walivyofanya kwenye mechi dhidi ya Plateau!
 
Tunawunga As Vita mkude hakuwepo....mkude nae ni overrated Sana ukimwangalia style ya mkude anavyo receive Hadi anatoa pass anatumia Kama second 3 kufanya maamuzi
Hicho ndio kinawacost Simba wanakaa nq mpira muda mrefu mpaka adui anakuja kuziba nafasi ule mpira wa Fraga tumeumiss sana
 
Waruhusu mkude apige mzigo wa Barbra ndo aingie uwanjani.........Bila hivyo watavuna aibuu
 
Pacha ya Wawa na Onyango hawamuwezi Chikwende

Wawa + Nyoni hapo sawa

Au Wawa + Ame + Nyoni kama kiungo mkabaji
Mbona kama mnampaisha sana Chikwende? Huyo si ameifunga Simba kama Adam Adam anavyoifunga Simba tu? Katika mechi kama timu imepat goli, maana yake kuna mfungaji, lakini haimaanishi kuwa lazima mfungaji ndio mchezaji hatari kuliko wengine. Mbona hata Sarpong anafunga, naye anaweza kuitwa ni mchezaji hatari? Tuache ushamba
 
eti simba beki mbovu!!! pumbafuuuuuu!!! endeleeni kuota tu!!! beki mbovu na huku ndo ina magoli machache ya kufungwa kuliko timu yoyote ligi kuu
Kwa msaada wa marefa.
 
Mi naona mbinu mbadala ni kumkaba yule chikwende maana akisahaulika tu inakuwa mtihani
 
Ningalikuwa kocha ningemuita defensive midfielder yyte chemba kisha namwambia hakikisha unamuumiza chikwende dakika ya kwanza au ya pili ya mchezo. ki kawaida refa hapo ahatkupa njano kulingana na offence then diamond plutnum watatoka mchezoni kwa ssbu kama chikwende hatembei plutnum watafungwa kirahisi ila kama chikwende atamaliza mechi kun ahtihati ya suluhu ya 1:1au kwenda matuta......
Chikwende anashambulia.....anakaba......anafunga .....anaokoa......anaunganisha timu.....dawa yake ni kumtoa mapemaaaaaaaaaaaa koz wawa hamuwezi....onyango ni mzeee hana kasi ya Chikwe...labda shabalala atembee na naye vinginevyo Mkapa will turn in his grave hahaaaaaaaaaaaaaa

Mark this comment
 
Chikwende ana kipimo cha umri (Carbon 14).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…