Simba ikikaribia kupata mgao wa CAF lazima Mohamed Dewji aibuke

Hakuna tatizo, hata ardhi yote inamilikiwa na serikali nlakini tunasema "kiwanja changu", "shamba langu" na tunajenga nyumba zetu.
Ndio uelewa, Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali, na Sheikh Karume ndio alitowa pesa za hayo majengo ya hizo club Jangwani na Msimbazi.

Sunderland ndio ilikuwa timu ya Waarabu serikali wakaipora kutoka kwa wamiliki wakaibadili jina na ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita.

Mo Dewji anaujuwa ukweli na GSM wanaujuwa ukweli, wanakula na vipofu lakini wenye timu wenyewe halisi wapo, au muulize Manji atakueleza vizuri.
Hakuna tatizo, hata ardhi yote inamilikiwa na serikali nlakini tunasema "kiwanja changu", "shamba langu" na tunajenga nyumba zetu.
 
Kama anapata hasara kwanini anaforce kuendelea kupata hasara??
 
Mo ni kichefuchefu
 
Kama hapato faida SI aiache klabu? Unawezaje kufanya biashara ambayo Kila uchwao inakupa hasara.
 
Ndiyo maana nimewauliza hao, wanawajua wahindi au wanawasikia tu?
Tunawsjuwa sana kuliko unavyofikiria.

Kwanza tusi generalise kuhusu Wahindi. Wahindi wapo wa makabila nanjamii na lugha tofauti tofauti kukiko unavyofikiria.

Hapa tumuongelee Mo. Kazaliwa Tanzania, tena Singida, kakulia singida mpaka alivyikwendankujiendelezankwa masomo yake huko USA. Alipirudi hakukaa sana akajiingiza kwenye siasa na hatimae akawa mbunge wa Singida.

Akafanya biashara zake, zimekuwa ni mfano kwa Africa mpaka nchi zingine nje ya Tanzania zimempa nyadhifa kwa uwezo wake. Nengi mengineyo ni haya tunayasoma kila siku kwenye media.

Tumjuwe vipi zaidi utakavyo?
 
Mamaa naelewa wako wa makabila tofauti, nimeishi nao ila sitapenda kuingia ndani zaidi.
Kusema wahindi unawajua, sina neno tofauti na hili.

Ni kama mtu asema Watanzania huwajui wewe? Hiyo ndiyo asili yake, Mtanzania mwenye asili ya kihindi. Zaidi wana simba wanajua wanachodai, nayeye kishasema katumia zaidi ya wanachokisema siku zote. Uwe na jioni njema ikielekea usiku ... πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Siyo wapenenzi wa Simba hao, hao Ni wa upande wa pili. Watu wa Simba hakuna asiyejua juhudi za MO.

Nimesikiliza maelezo yote ya MO katika interview ile, hakuna lolote baya alilopjibu. Waache kutafsiri kwa uvhochezi.
Mtu amejibu nipo tayari vyovyote iwavyo kufanya kwa ajili ya mapenzi yake kwa Simba SC. Anakwambia hahesabu hasara kuifadhili Simba.
Mtu ameulizwa, unatoa fedha zako kwa Simba, je, unaweka kwa faida au kwa hasara. Ndiyo maana akajibu, "ndiyo Kuna hasara, kama ingekuwa fedha ninayotoa kwa Simba nimetumia kivingine, ningeweza hata kununua ndege. Lakini sihesabu kama ni hasara kwa vile naipenda sana Simba SC tangu utoto wangu. Hivyo natoa fedha kwa Simba kwa kuopenda"
Haya sasa, onyesheni ubaya wa majibu hayo enyi wanafiki na wafitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…