Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu Leo watacheza kufa na kuponq mkuu.....huku wakijutia kutoshinda kwaoKwa matokeo ya Yanga ya jana, Simba leo atajituma sana kupata matokeo mazuri. Kwahiyo ataingia mchezoni akitazama matokeo mazuri ya wahasibu wake, pili akiwaza ushindi wake.
Simba akikaza kipindi cha kwanza ashinde hata moja basi ana nafasi kubwa sana ya kutoka na matokeo hata ya 2 bila au 3. Akishindwa kupata matokeo first half, uwezekano wa kutolewa ni 80%.
Wenzetu wapo fit sana sio lege lege kama sisi..jamaa ana control akili ya mpira na Stamina ya kutosha.Kuna namna tuifanye kama taifa ya kumpatia boka uraia wa Tanzania.
Hili tuje tumtumie kwenye michezo ya olympic kwenye mbio za riadha.
Huyu nina uhakika atarudi na medali ya dhahabu.
Teh teh teh .....kumbe kina pirato ni wengiHabari ndugu Active ,
naomba usome title ya huu uzi,
Kama utatekeleza Ahadi kwa huyu Member mwenzetu Labani og ,
mimi nitakununulia bundle la elfu moja kulingana na uchumi wangu.
Nisipotekeleza Ahadi yangu nipigwe ban ya mwezi mzima. Nimeridhia mimi kama Rayns na niko Tayari.
JamiiForums Forever
Ni kweli nimeona aisee, Hii timu inanipa Pressure sio siriUnachelewa sana mkuu
Msamehe Bure Tu Anajichosha Halafu Simba ItashindaMwisho utavua nguo na uombe kuogeshwa hadharani.Shikilia ubongo huo.Mjini hapa.
Ya kwanza alilimwa. Wadau walihakikisha anapata stahiki yake.Ile ban yako uliyoomba wakati ule unakumbuka bado hukupigwa ukaanza Kuomba Kwa mods wakuachie
Ngoja tuwakumbushe mods wakupige ile ya kwanza ili ujifunze adabu 🤗
This time around tunataka tumlime naniliu. Tufumue kabisa hadi itoke nje kama ya nguruwe.Ya kwanza alilimwa. Wadau walihakikisha anapata stahiki yake.
Na hii lazima atalimwa.