Simba ikishinda leo dhidi ya Pamba nipigwe Ban

Kumekuchaaaa
 
Kuna biashara unaitangaza kimya kimya maana nshaanza kusikia harufu ya kinyesi kwenye Uzi wako
 
Mnajiaminishaga ujinga Mpira auko ivyo, kama timu ni mbovu ata wakiwekewa bilioni Moja aiwezi kushinda mechi kinachoshinda ni quality ya wachezaji na maandalizi Bora na si vinginevyo
Unamchukua darasa la saba unampa University chemistry exam on Thermodynamics eti kwa vile umempa trillion moja ataushida πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…