Simba ikishinda leo dhidi ya Pamba nipigwe Ban

Simba ikishinda leo dhidi ya Pamba nipigwe Ban

Ikijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.

Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni

Asalamaleko.
Kumekuchaaaa
 
Ikijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.

Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni

Asalamaleko.
Kuna biashara unaitangaza kimya kimya maana nshaanza kusikia harufu ya kinyesi kwenye Uzi wako
 
Mnajiaminishaga ujinga Mpira auko ivyo, kama timu ni mbovu ata wakiwekewa bilioni Moja aiwezi kushinda mechi kinachoshinda ni quality ya wachezaji na maandalizi Bora na si vinginevyo
Unamchukua darasa la saba unampa University chemistry exam on Thermodynamics eti kwa vile umempa trillion moja ataushida 😀 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom