Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumekuchaaaaIkijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.
Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni
Asalamaleko.
Usije sema ulikuwa unatania.
Mbona Kama unaongea huku unaogopa ?Nilisema 3 days
Apewe ujira wakeTumekuja kushuhudia haki ikitendeka kwa member mwenzetu kama mapendekezo yake yalivyokuwa maana asipotimiziwa atajisikia vibaya sana
Kuna biashara unaitangaza kimya kimya maana nshaanza kusikia harufu ya kinyesi kwenye Uzi wakoIkijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.
Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni
Asalamaleko.
Unamchukua darasa la saba unampa University chemistry exam on Thermodynamics eti kwa vile umempa trillion moja ataushida 😀 😀 😀 😀 😀Mnajiaminishaga ujinga Mpira auko ivyo, kama timu ni mbovu ata wakiwekewa bilioni Moja aiwezi kushinda mechi kinachoshinda ni quality ya wachezaji na maandalizi Bora na si vinginevyo
Sasa ban umekiuka Sheria Gani ya jf?
Haya Glenn , njoo huku uone kilichomkuta mtoa mada baada ya simba kushinda huko!!!Sijawahi kuona
Dah,Cc Active weka mark huu Uzi baadaye utoe adhabu.
Kumbe ukiomba ban unapigwa kweliHaya Glenn , njoo huku uone kilichomkuta mtoa mada baada ya simba kushinda huko!!!