Simba ikitaka ifike Mbali itafute Wachezaji Waonaojua Kufosi na Kupiga Chenga. Sio hawa wa Mipasi tu

Simba ikitaka ifike Mbali itafute Wachezaji Waonaojua Kufosi na Kupiga Chenga. Sio hawa wa Mipasi tu

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Kama wewe ni shabiki wa Mpira na unaangalia mpira wa timu za hapa nchini utatambua kwa nini Simba SSC haipati matokeo. Ukiacha kufungwa magoli ya Corner na Free Kicks ambazo wana wanashindwa kucheza vizuri. Wachezaji karibia 90% wa Simba hawawezi kukaa na mpira yaani kupiga chenga na kufosi matokeo. Ukimuacha Bernard Morrison, Mohamed Hussein , Pape Sakho na Kidogo Shomari Kapombe wote waliobaki hawawezi kutembea na mpira.

Ukiwa na mchezaji anayejua kutembea na mpira ni rahisi kupenya na kusababisha madhara kwa adui muda wowote. Wote tunaona kwanini Cameroon kwanini kashindwa kupata matokeo kwake dhidi ya Algeria. Sababu kubwa wachezaji wake wanacheza pasi sana kuliko kufosi kuingia sehemu za Adui na kuleta madhara.

Pale mbele Simba SSC walete wachezaji wanaoweza kupiga chenga na kusumbua beki za Adui mfano wa Pape Sakho. Huwezi kuwa na Striker ambaye hawezi kuhold mabeki hata wawili na kukimbia na mpira golini mwa adui. Mimi sijui Kamati ya Usajili huwa inaangalia nini kabla ya kuchuku mchezaji. Ila kwa mpira wa kisasa inabidi huwe na striker mwenye vingi sio kufunga tu.
 
Hili tatizo naona ni janga karibu timu zote za afrika hasa za watu weusi naona hta watu wazima senegal wana hili tatizo ndio maana dhidi ya egypt wali struggle sana kupata goli na hawakupata.

Kwa lugha rahisi unaweza kuliita hili tatizo ukosefu wa wachezaji wabunifu ambao wanaweza kulazimisha mabeki wa timu pinzani wafanye makosa

Ndio maana timu km man city inatamba sana sababu ina wachezaji wengi sana eneo la ushambuliaji wenye ubunifu wa hali ya juu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hili tatizo naona ni janga karibu timu zote za afrika hasa za watu weusi naona hta watu wazima senegal wana hili tatizo ndio maana dhidi ya egypt wali struggle sana kupata goli na hawakupata...
Nadhani hili ni gonjwa la soka la Afrika kwa Kweli. Lakini hawajaisha na bado wapo kama ukiwa na scouting nzuri. Hilo la man city kwa kweli ni silaha yao kubwa.
 
Mkuu umeongea ukweli tupu Simba suala la mipira ya kona na free kick ni changamoto
Pia washambuliaji wenye uwezo kutulia na mpira na kuingia kwenye 18 la mpinzani ni Pape sakho na Morrison tu tofauti na hapo magoli tunayopata tunategemea zimbwe aweke cross au Shomari kapombe tofauti na hapo ushindi unakuwaga siyo wa uhakika
Watafute washambuliaji wenye uwezo siyo kutegemea kuotea tu kwenye nafasi na kufunga
Mugalu na Kagere tangu wafike sijawah ona anadrive mpira na kuwapita mabeki wawil au watatu na kufunga sana sana magoli yao wanayofunga wanakuta mpira upo kwenye nafasi ndy wanapress tu goli bas..
 
Mkuu umeongea ukweli tupu Simba suala la mipira ya kona na free kick ni changamoto
Pia washambuliaji wenye uwezo kutulia na mpira na kuingia kwenye 18 la mpinzani ni Pape sakho na Morrison tu tofauti na hapo magoli tunayopata tunategemea zimbwe aweke cross au Shomari kapombe tofauti na hapo ushindi unakuwaga siyo wa uhakika
Watafute washambuliaji wenye uwezo siyo kutegemea kuotea tu kwenye nafasi na kufunga
Mugalu na Kagere tangu wafike sijawah ona anadrive mpira na kuwapita mabeki wawil au watatu na kufunga sana sana magoli yao wanayofunga wanakuta mpira upo kwenye nafasi ndy wanapress tu goli bas..
Mugalu ndio shida zaidi. Hata akiwa peke yake na goli hawezi kufunga. The same to Bocco.
 
Mkuu umeongea ukweli tupu Simba suala la mipira ya kona na free kick ni changamoto
Pia washambuliaji wenye uwezo kutulia na mpira na kuingia kwenye 18 la mpinzani ni Pape sakho na Morrison tu tofauti na hapo magoli tunayopata tunategemea zimbwe aweke cross au Shomari kapombe tofauti na hapo ushindi unakuwaga siyo wa uhakika
Watafute washambuliaji wenye uwezo siyo kutegemea kuotea tu kwenye nafasi na kufunga
Mugalu na Kagere tangu wafike sijawah ona anadrive mpira na kuwapita mabeki wawil au watatu na kufunga sana sana magoli yao wanayofunga wanakuta mpira upo kwenye nafasi ndy wanapress tu goli bas..
Wachezaji mizigo. Wanasubiri mpaka watengewe kwenye 18!!!!
 
Tatizo la Simba ni safu yao ya uongozi, wanaajiri makocha waje kufundisha mpira wa kupiga pasi tu wala sio wa kusaka matokeo. Alikua kocha mmoja anaitwa Pierre aliisuka Simba muda mfupi ikawa inashinda goli 1 ila kuchomolewa inakua mbinde sana, wakamchukia eti timu inashinda kwa presha sana.

Ilimkuta Sven pia.
 
Tatizo la Simba ni safu yao ya uongozi, wanaajiri makocha waje kufundisha mpira wa kupiga pasi tu wala sio wa kusaka matokeo. Alikua kocha mmoja anaitwa Pierre aliisuka Simba muda mfupi ikawa inashinda goli 1 ila kuchomolewa inakua mbinde sana, wakamchukia eti timu inashinda kwa presha sana.

Ilimkuta Sven pia.
Piere walishindwa dau
 
Kama wewe ni shabiki wa Mpira na unaangalia mpira wa timu za hapa nchini utatambua kwa nini Simba SSC haipati matokeo. Ukiacha kufungwa magoli ya Corner na Free Kicks ambazo wana wanashindwa kucheza vizuri. Wachezaji karibia 90% wa Simba hawawezi kukaa na mpira yaani kupiga chenga na kufosi matokeo. Ukimuacha Bernard Morrison, Mohamed Hussein , Pape Sakho na Kidogo Shomari Kapombe wote waliobaki hawawezi kutembea na mpira.

Ukiwa na mchezaji anayejua kutembea na mpira ni rahisi kupenya na kusababisha madhara kwa adui muda wowote. Wote tunaona kwanini Cameroon kwanini kashindwa kupata matokeo kwake dhidi ya Algeria. Sababu kubwa wachezaji wake wanacheza pasi sana kuliko kufosi kuingia sehemu za Adui na kuleta madhara.

Pale mbele Simba SSC walete wachezaji wanaoweza kupiga chenga na kusumbua beki za Adui mfano wa Pape Sakho. Huwezi kuwa na Striker ambaye hawezi kuhold mabeki hata wawili na kukimbia na mpira golini mwa adui. Mimi sijui Kamati ya Usajili huwa inaangalia nini kabla ya kuchuku mchezaji. Ila kwa mpira wa kisasa inabidi huwe na striker mwenye vingi sio kufunga tu.
Tatizo hilo mbona msimu uliopita halikuonekana? Chama alikuwa anafosi, Luis pia mtu wa kufosi, Morrison na Bwalya pia ni watu wa namna hiyo hiyo. Kapombe pia ni mtu wa kufosi saivi kaongezeka Sakho. Kwahiyo inatakiwa kwanzia namba 2 hadi 11 wote wawe watu wa uchezaji wa aina moja?
 
Tatizo la Simba ni safu yao ya uongozi, wanaajiri makocha waje kufundisha mpira wa kupiga pasi tu wala sio wa kusaka matokeo. Alikua kocha mmoja anaitwa Pierre aliisuka Simba muda mfupi ikawa inashinda goli 1 ila kuchomolewa inakua mbinde sana, wakamchukia eti timu inashinda kwa presha sana.

Ilimkuta Sven pia.
Huyu kocha alippnzwa na mahaba ya mashabiki wa Simba kwa Masoud Djuma. Kipindi timu ipo chini ya Masoud Djuma,. Djuma akaonekana bonge la kocha kisa timu inaupiga mwingi na magoli ya kutosha. Alipokuja huyo alikuwa ana focus kwenye matokeo pekee haijalishi timu inachezaje.
 
Kama wewe ni shabiki wa Mpira na unaangalia mpira wa timu za hapa nchini utatambua kwa nini Simba SSC haipati matokeo. Ukiacha kufungwa magoli ya Corner na Free Kicks ambazo wana wanashindwa kucheza vizuri. Wachezaji karibia 90% wa Simba hawawezi kukaa na mpira yaani kupiga chenga na kufosi matokeo. Ukimuacha Bernard Morrison, Mohamed Hussein , Pape Sakho na Kidogo Shomari Kapombe wote waliobaki hawawezi kutembea na mpira.

Ukiwa na mchezaji anayejua kutembea na mpira ni rahisi kupenya na kusababisha madhara kwa adui muda wowote. Wote tunaona kwanini Cameroon kwanini kashindwa kupata matokeo kwake dhidi ya Algeria. Sababu kubwa wachezaji wake wanacheza pasi sana kuliko kufosi kuingia sehemu za Adui na kuleta madhara.

Pale mbele Simba SSC walete wachezaji wanaoweza kupiga chenga na kusumbua beki za Adui mfano wa Pape Sakho. Huwezi kuwa na Striker ambaye hawezi kuhold mabeki hata wawili na kukimbia na mpira golini mwa adui. Mimi sijui Kamati ya Usajili huwa inaangalia nini kabla ya kuchuku mchezaji. Ila kwa mpira wa kisasa inabidi huwe na striker mwenye vingi sio kufunga tu.
Tatizo lingine ni washambuliaji kutokupenda kuingia kwenye penalt box yaani hawapendi kabisa sijui shida nini. Wakati ndo usalama kama una mpira ndani ya box unacheza unavyojisikia na kujiamini zaidi maana beki anakukaba kwa tahadhari sana.
 
Tatizo hilo mbona msimu uliopita halikuonekana? Chama alikuwa anafosi, Luis pia mtu wa kufosi, Morrison na Bwalya pia ni watu wa namna hiyo hiyo. Kapombe pia ni mtu wa kufosi saivi kaongezeka Sakho. Kwahiyo inatakiwa kwanzia namba 2 hadi 11 wote wawe watu wa uchezaji wa aina moja?
Ndiyo mkuu, wachezaji lazima wajue kutembea na mpira. Mchezaji ambaye hata hawezi kutembea hata hatua mbili na mpira sio bora kwa kupata matokeo.
 
Tatizo lingine ni washambuliaji kutokupenda kuingia kwenye penalt box yaani hawapendi kabisa sijui shida nini. Wakati ndo usalama kama una mpira ndani ya box unacheza unavyojisikia na kujiamini zaidi maana beki anakukaba kwa tahadhari sana.
Ndiyo maana hatupati matokeo. Lazima uwe na aina ya wachezaji wenye kufosi kuingia kwenye box na kuwafanya mabeki wakose utulivu.
 
Ndiyo mkuu, wachezaji lazima wajue kutembea na mpira. Mchezaji ambaye hata hawezi kutembea hata hatua mbili na mpira sio bora kwa kupata matokeo.
Haya kwahiyo hapa unazungumzia waliobakia kwamba Mkude, Lwanga, Kanoute, Inonga, Onyango, Wawa, Mzamiru, Dilunga, Boko na Kagere hawajui kutembea na mpira? Labda boko na Kanoute ila mbona wengine nimewaona waki dribble na pia hadi kupiga chenga wanapiga ila kwa nafasi zao.
 
Back
Top Bottom