Simba iliwezaje kufungwa na timu mbovu Wydad AC? Hakika Ingekuwa Yanga taifa lingekuwa fainali

Simba iliwezaje kufungwa na timu mbovu Wydad AC? Hakika Ingekuwa Yanga taifa lingekuwa fainali

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
 
Baada ya kutazama mchezo wa fainali bainq ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu
Nakubaliana na ww kwamba wydad ilistaili kuishia makundi ila pia yanga mbovu haikustahili kucheza ile mechi ya round ya pili ya club bingwa.
 
Baada ya kutazama mchezo wa fainali bainq ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
Wydad waliwafunga simba, simba akawafunga yanga. Umetumia mzani upi kujudge
 
Baada ya kutazama mchezo wa fainali bainq ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
kwa kipimo kipi umepima hivyo?
 
Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
Najaribu kuangalia hoja yako katika angle tofauti na huenda una sababu ya msingi maana kama USMA alimtoa As Far Rabat basi anaweza kumtoa Wydad

Conclusion; Kama sio figisu hawa waarabu wa USMA walikuwa wapigwe 2-0 au 3-0 na Young Africans
 

Attachments

  • 181B2E93-8AEF-479F-B3B3-B1D0802AB91A.jpeg
    181B2E93-8AEF-479F-B3B3-B1D0802AB91A.jpeg
    126.9 KB · Views: 2
Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
Al hilal vipi ni wazuri sana au famba tu?
 
Hiyo yanga unayoisifia ilikuwepo kwenye hayo mashindano na ikatolewa mapema na kwenda kushiriki kombe la loser pia hiyo Simba unayoiponda ilikutandika mbili bila majibu , kama kumbukumbu zilikuwa zimepotea nazirudisha
Na akijisahaulisha namimi ntazirudisha tena kwa nyau huyu
 
Back
Top Bottom