Al hilal alistahili kuishia round ya ngapi? Maana yule ndiye kilaza zaidiYanga akawa bingwa wa Tanzania huku Simbwa akitoka kapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al hilal alistahili kuishia round ya ngapi? Maana yule ndiye kilaza zaidiYanga akawa bingwa wa Tanzania huku Simbwa akitoka kapa.
Kaizer alichukua ndoo ya ligi ya south au?Wakati mnaloga hadharani kule kwa Madiba, Kaizer Chiefs walikuwa nafasi ya ngapi na wakakutoa na wakachukua ndoo?
Fainali ipi? Ya losers tu imewashindaBaada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.
Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.
Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
Hiyo hiyoKaizer alichukua ndoo ya ligi ya south au?
Siwauliza hicho nimewauliza mmetumia mizan ipi kusema wydad ni mbovuKwani Yanga msimu huu hajakufunga?
Kumbe ndo huyu,,,!Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika
Kwa mujibu wa utaratibu mpya wanaoshiriki CAF ni mshindi wa Ligi kuu na FA Cup, Hapo Yanga akipigwa Simba hawana chao CAFCLUmeitoaa wapiii hii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]www.jamiiforums.com
Umekimbia kuhitimisha
unajua azam ni wangap kwenye ligi yao?Unajua USM ALGERS ni wangapi kwenye ligi yao?
MALUMO GALLATS wangapi kwenye ligi yao?
Kwenye mechi ya mzunguko gani wa ligi ambapo Yanga ikishinda dhidi ya Simba Sc?Kwani Yanga msimu huu hajakufunga?
Ubingwa wa mchongoYanga akawa bingwa wa Tanzania huku Simbwa akitoka kapa.
Za luzazMbovu zaidi akatwaa ubingwa na medali CAF [emoji1]
Kwa mujibu wa ramli mlizopewa na vile vizee vyenu au ni umechanganyikiwaNajaribu kuangalia hoja yako katika angle tofauti na huenda una sababu ya msingi maana kama USMA alimtoa As Far Rabat basi anaweza kumtoa Wydad
Conclusion; Kama sio figisu hawa waarabu wa USMA walikuwa wapigwe 2-0 au 3-0 na Young Africans
Hilo ni somo la logic sio ramliKwa mujibu wa ramli mlizopewa na vile vizee vyenu au ni umechanganyikiwa
USM Algers wana wachezaji wanne timu yao ya Taifa, yule golikipa, mabeki 2 na forward mmoja katika Taifa lililo na mastaa kibao Ulaya. Hivyo tukubali wana kikosi Bora licha ya nafasi yao ya sasa.Unajua USM ALGERS ni wangapi kwenye ligi yao?
MALUMO GALLATS wangapi kwenye ligi yao?