Simba iliwezaje kufungwa na timu mbovu Wydad AC? Hakika Ingekuwa Yanga taifa lingekuwa fainali

Simba iliwezaje kufungwa na timu mbovu Wydad AC? Hakika Ingekuwa Yanga taifa lingekuwa fainali

Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa mpira waliocheza najaribu kufikiria endapo wangekutana hata na USM Algers hakika wangechezea nyingi sana.Hivi wangekutana na timu kama Young Africans nadhani kwa sasa Tanzania ingekuwa imepata muwakilishi katika fainali za CAFCL.

Wydad ni timu mbovu mno, Simba ni wabovu zaidi ndiyo maana ilishindwa kuwafunga.Nadhani wakati umewadia kama taifa Young Africans kwenda kuonyesha na kufundisha vilabu vya Tanzania namna ya kushinda ugenini kwa waarabu na kutinga fainali CAFCL.

Wydad ilistahili kuishia makundi kwenye CAFCC.
Fainali ipi? Ya losers tu imewashinda
 
Najaribu kuangalia hoja yako katika angle tofauti na huenda una sababu ya msingi maana kama USMA alimtoa As Far Rabat basi anaweza kumtoa Wydad

Conclusion; Kama sio figisu hawa waarabu wa USMA walikuwa wapigwe 2-0 au 3-0 na Young Africans
Kwa mujibu wa ramli mlizopewa na vile vizee vyenu au ni umechanganyikiwa
 
Sasa mngekutanaje na wydad akat al hilal aliwafurusha mapema kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua USM ALGERS ni wangapi kwenye ligi yao?

MALUMO GALLATS wangapi kwenye ligi yao?
USM Algers wana wachezaji wanne timu yao ya Taifa, yule golikipa, mabeki 2 na forward mmoja katika Taifa lililo na mastaa kibao Ulaya. Hivyo tukubali wana kikosi Bora licha ya nafasi yao ya sasa.
 
Back
Top Bottom