Simba imesonga mbele baada kuifunga Gendarmerie goli 1 kwa bila

Hakuna uzito apo tushapita tuangalie round ijayo hii tushamaliza
 
Hii timu ya simba huwa naifananisha sana na barca. Yaani wamekosa kabisa ushindani msimu huu.
 
Basi kwisha Habari!! Wa matopeni imrkuwaje? Au hawajacheza leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…