Lkn Yanga ndio timu inayoongoza kumfunga simbaNdio ni kweli,ila ni matokeo ya mpira,na uwekezaji.
Simba amewahi kumfunga yanga zaidi ya goli nne vilevile,ni kwamba yanga now wako vizuri,simba kuna sehemu wamekosea hasa kwenye usajili.
Hakuna asiyejua Liverpool ilivyokuwa inaibamiza Manchester city zaidi ya miaka miwili iliyopita lakini juzi amepigwa bao 4 na hao hao Manchester city.
Chelsea vile vile.
Sawa ni kweliLkn Yanga ndio timu inayoongoza kumfunga simba
Wewe mnyama si alikubaka mara tanoNa akawala goli nne
Kwa niaba ya mashabiki wa Simba, nawapongeza Yanga kwa kulipa kisasi kwa Mazembe. Ombi lingine ni Yanga itusaidie pia kumfunga Vita, ule mkono waliotupiga ilikuwa ni udhalilishaji wa aina yake. Naweka na ushahidi hapa.Baada shangwe za Jana ( wananchi kuliokoa taifa na kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumpiga mazembe nje ndani)
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi View attachment 2575230
Wanaona kama hawaoniBaada shangwe za Jana ( wananchi kuliokoa taifa na kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumpiga mazembe nje ndani)
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi View attachment 2575230
Ur request...... acceptedKwa niaba ya mashabiki wa Simba, nawapongeza Yanga kwa kulipa kisasi kwa Mazembe. Ombi lingine ni Yanga itusaidie pia kumfunga Vita, ule mkono waliotupiga ilikuwa ni udhalilishaji wa aina yake. Naweka na ushahidi hapa. View attachment 2575270
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Baada shangwe za Jana ( wananchi kuliokoa taifa na kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumpiga mazembe nje ndani)
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi View attachment 2575230
Sasa tp Mazembe si ilikandwa na vipersVita ilikuwa ni vipers mtupu
Atakataa....Lkn Yanga ndio timu inayoongoza kumfunga simba