Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Baada shangwe za Jana ( wananchi kuliokoa taifa na kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumpiga mazembe nje ndani)
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi