Simba imewahi kuchapwa 4-1 na TP Mazembe

Kwani wewe umefungwa kujitafakari juu ya Maisha y'ako!!! Kha 😀😀😀😀

Why umpangie mtu cha kupost

Uhuru wa habari ndio huu Sasa!! Ndio maana ya jf kuanzishwa!!!
 
Kwani wewe umefungwa kujitafakari juu ya Maisha y'ako!!! Kha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Why umpangie mtu cha kupost

Uhuru wa habari ndio huu Sasa!! Ndio maana ya jf kuanzishwa!!!
Mbu Mbu mbu akili wazitoe wapi sasa
 
U
Umeona hapo..hiyo ilikuwa Mazembe ya Champions siyo hii Mazembe ya Malooser wewe ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…