Tp mazembe ni zalan mtupuVita ilikuwa ni vipers mtupu
Ombeni nyie na vipersOmben friend match muone kama hamjalizwa na mazembe
Kwani vipers alikugonga ngapi?Lakin alikugonga nne
Hiyo this time hata huyo mazembe hakutupiga this time, kama unamzungumzia ya Simba kupigwa kipindi hicho hata wewe raja alikupiga 6Sasa kama nyie wabovu mlifunga....kwetu this time atakula nyingi
Simba alikupiga 5, baadae akakupiga 4-1Kumbuka ilikuwa ni friend match
..Baada shangwe za Jana ( wananchi kuliokoa taifa na kuweka rekodi ya kuwa timu pekee kumpiga mazembe nje ndani)
Najua makolo mmesahau
Leo Baada ya kutulia na kuanza kufuatilia historia ya soka hapa bongo ndipo nmeona hii habari kuwa mwaka 2019 makolo wamewahi kuchapika kichapo heavyweight Kwa Tp Mazembe 4 ____1 Kwa timu hii hii ambayo imenyanyaswa na wananchi
Wafungaji wa Tp Mazembe
K. Chongo
M. Elia
T. Mputu
J. Muleka
NB: Be proud tumewalipia kisasi View attachment 2575230
Mpaka leo una maumiv ya kukacha nan mtaji jembe tangu lile pambano lianzishwe utopolo haikupata ushindi mbele ya mnyama mkaona yanini aibu bora mtani jembe isitishwe hamtoshiriki tenMAKOLO mmechukua marachache sana
Mimi nasema Yanga wote ni wapumbavuKauli ya rageView attachment 2577010