Simba imewahi kuchapwa 4-1 na TP Mazembe

Sasa kama nyie wabovu mlifunga....kwetu this time atakula nyingi
Hiyo this time hata huyo mazembe hakutupiga this time, kama unamzungumzia ya Simba kupigwa kipindi hicho hata wewe raja alikupiga 6
 
..

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hiyo this time hata huyo mazembe hakutupiga this time, kama unamzungumzia ya Simba kupigwa kipindi hicho hata wewe raja alikupiga 6
[emoji23][emoji23] sawa Mzee umeshinda
 
MAKOLO mmechukua marachache sana
Mpaka leo una maumiv ya kukacha nan mtaji jembe tangu lile pambano lianzishwe utopolo haikupata ushindi mbele ya mnyama mkaona yanini aibu bora mtani jembe isitishwe hamtoshiriki ten
 
Mpaka leo una maumiv ya kukacha nan mtaji jembe tangu lile pambano lianzishwe utopolo haikupata ushindi mbele ya mnyama mkaona yanini aibu bora mtani jembe isitishwe hamtoshiriki ten
Hayo Makombe ya kuku siyo level yetu mkuu
 
Mngekutana na mazembe ya wakati huo saizi mngekuwa mmevaa chupi kichwani.
 
Mazembe ya sasa inavilema watupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…