Simba imewahi kuchapwa 4-1 na TP Mazembe

Vita ilikuwa ni vipers mtupu
Unadai kuwa As Vita alikuwa ni Vipers mtupu wakati anafungwa na Simba Sc, ila unasahau kwamba karibia nusu ya kikosi chenu cha sasa kilikuwa As Vita wakati huo.

Mayele, Djuma, Moroko, Bangala, Kisinda..nk wote walikuwa pale.

[emoji23][emoji23]
 
Unadai kuwa As Vita alikuwa ni Vipers mtupu wakati anafungwa na Simba Sc, ila unasahau kwamba karibia nusu ya kikosi chenu cha sasa kilikuwa As Vita wakati huo.

Mayele, Djuma, Moroko, Bangala, Kisinda..nk wote walikuwa pale.

[emoji23][emoji23]
Hio haifanyi kuwa walikuwa wakali...... ushindi unabebwa na vitu ving
 
Uto mmeifunga Mazembe ipi? Umeweka na kikosi Cha Mazembe Cha wakati huo . Linganisha Basi na Mazembe ya Sasa.

Mmemfunga marehemu mnasherehekea.
 
Hapo vipi, hamsemi
 
Uto mmeifunga Mazembe ipi? Umeweka na kikosi Cha Mazembe Cha wakati huo . Linganisha Basi na Mazembe ya Sasa.

Mmemfunga marehemu mnasherehekea.
hata Mazembe ya Sasa ni kali .....sema tu political issues.....zinaiyumbisha
 
Yanga imewahi kuchapwa 6-0 na Raja Casablanca pia kuchwapwa 5-0 na Simba, ushahidi huu hapa:

Leta hoja nyingine ipate majibu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…