Simba inaweza kuanzia preliminary siyo lazima kila mwaka timu 10 zianzie first round

Simba inaweza kuanzia preliminary siyo lazima kila mwaka timu 10 zianzie first round

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
SIMBA INAWEZA KUANZIA PRELIMINARY SIYO LAZIMA TIMU 10 ZIANZIE FIRST ROUND

Caf Champions League inatakiwa kuhusisha timu zisizozidi 68

Caf ina wanachama 56 (Japo Afrika ina nchi 54) katika hao nchi 12 zinatoa timu 2 CafCL na kufanya jumla ya timu 24 na nchi 44 zinatoa timu moja ndipo unapata jumla timu 68

Hata hivyo kutokana na sababu mbalimbali baadhi ya nchi wanachama hujitoa kushiriki kwa hiyo idadi ya 68 haijawahi kufikiwa

Wachambuzi wengi nchini wamepotosha kwamba timu 10 zitaanzia first round hili jambo si la kweli ila wamekariri hivyo kwa sababu tu kwa miaka miwili mfululizo zimekuwa timu 10

Sasa ni nini kinaamua idadi ya timu zinazoanzia First Round na idadi ya zinazoanzia preliminary?

Soma maelezo yafuatayo hapo chini kwa makini

Suala hili linategemea ni timu ngapi zinashiriki mashindano ya mwaka husika

Timu zinagawanywa kihisabati ili zikifika First round zibaki 32 na hatimaye group stage timu 16

Nimekuletea Caf Champions league za miaka kadhaa ujionee mwenyewe


MwakaIdadi ya uRaundi ya awaliRaundi ya kwanzakanunimakundiZilizoanzia raundi ya kwanza
21/22544410( 44/2=22) 22+10=3216Al Ahly, Espérance,Wydad AC, Raja Casablanca, Zamalek ,Mamelodi , Mazembe ,Horoya,Étoile du Sahel,Simba
2020/21544410(44/2 =22) 22+10=3216Al Ahly ,Wydad AC ,Espérance, Mazembe ,Zamalek ,Mamelodi ,Raja Casablanca,Horoya,AS Vita,1º de Agosto
2019/2061583(58/2 =29) 29+3=32`16Espérance, Wydad AC,Mazembe
2018/1956524(52/2 =26) 26+4=3015Mazembe, Al-Ahly,Wydad AC, ,AS Vita
Mwaka huo +Bingwa mtetezi Esperance alianzia group stage moja kwa moja 15+1=16
201859545( 54/2=27)
27+5 =32
16Mazembe, Al Ahly, Étoile du Sahel, Wydad AC , Mamelodi
201755469(46/2 =23)
23+9 =32
16Mazembe ,Al Ahly, Zamalek, Étoile du Sahel, Mamelodi, Espérance de Tunis, Al-Hilal, USM Alger, Wydad AC
201655469( 46/2=23)
23+9 =32
16Al-Ahly, Mazembe, ES Sétif, Al-Hilal, Étoile du Sahel, Léopards, Zamalek, Al-Merrikh, Coton Sport
201557507( 50/2 =25)
25+7 =32
16Al-Ahly, Espérance, Mazembe, CS Sfaxien, ES Sétif, Coton Sport, Léopards
201458526( 52/2=26)
26+6 =32
16Al-Ahly, Espérance, Mazembe, CS Sfaxien , Al-Hilal, Coton Sport
201356488(48/2 =24)
24+8 =32
16
 
Maumivu haya kutoka chekechea fc aka wazee wa vidudu
 

Attachments

  • 20220623_152502.jpg
    20220623_152502.jpg
    50.7 KB · Views: 10
Andika katika mpangilio mzuri ili ueleweke, halafu weka na source ya uhakika ili mtu akapitie
 
Hii kitu ndivyo hata mimi najua, mleta mada yupo sahihi kabisa. CAF wanachoangalia ni bingwa timu moja, fainali timu mbili, nusu fainali timu nne, robo timu nane, makundi timu 16, round ya pili timu 32.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kuzibalance timu za raundi ya awali. Ikitokea mwaka husika nchi nyingi hazijajitoa, Simba itaanzia raundi ya awali, na sio Simba tu, hata timu ya 7 katika mtiririko wa viwango vya vilabu inaweza kuanzia huko
 
Sasa nimeelewa mara baada ya kusoma machapisho mengi na kujua hii dhana inatumikaje.

Nilicholewa ni kwamba kwa vyovyote vile lazima Timu zibakie 32 kutokea hatua ya awali.

Hivyo kama timu zilizothibitisha ushiriki zikiwa late say 60.
Basi timu 4 zitaanzia hatua ya kwanza na 54 zitaanzia hatua ya awali ili kupata timu 32 zitakazocheza hatua ya kwanza.

Umeeleweka na najua kuna watu watabisha hapa.
 
Na hivi ndivyo ilivyo siku zote,Simba wanapaswa kuendelea kuomba idadi ya timu zitakazo dhibitisha kushiriki champions league ziendelee kuwa 54 au 55 kama ilivyokuwa misimu 2 nyuma

Ila timu zitakazo shiriki zikiwa kuanzia 56 na kuendelea,basi nafasi ya Simba kuanzia round ya kwanza itakuwa finyu sana
 
zote hizi porojo na ujinga wa mashabiki maandazi..msemaji nguli wa mabingwa watrajiwa wa CAf alishalimaliza hili siku nyingi piga ua garagaza Yanga anaanzia round ya awali na mabingwa wenzake wa nchi nyingine hizo zenu porojo tu
 
Back
Top Bottom