Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa na hoja nzuri ila kashindwa kuiwasilisha. Binafsi sikujua lolote kuhusu hili na hata mleta mada sikumuelewa anachoongelea. Ila alipokuja mwana Msimbazi Lupweko ndipo nilipoanza kupata mwangaYanga waanzishe kozi wawapeleke mashabiki wao shule kwanza.
Tumepotoshwa na Manarahawa wamepotoshwa na makala ya ZAKA ZA KAZI
Ndio kwanza kuna ligi zinafungiwa kwahiyo timu zinabaki costant au kupungua sidhani kama kuna kuongezekaNa hivi ndivyo ilivyo siku zote,Simba wanapaswa kuendelea kuomba idadi ya timu zitakazo dhibitisha kushiriki champions league ziendelee kuwa 54 au 55 kama ilivyokuwa misimu 2 nyuma
Ila timu zitakazo shiriki zikiwa kuanzia 56 na kuendelea,basi nafasi ya Simba kuanzia round ya kwanza itakuwa finyu sana
Timu zikipungua pia zinapunguza idadi ya timu zitakazoanzia hatua ya kwanza.Ndio kwanza kuna ligi zinafungiwa kwahiyo timu zinabaki costant au kupungua sidhani kama kuna kuongezeka
Simba first round for this year is inevitable
Ligi zipi zimefunguwa taja kabisaNdio kwanza kuna ligi zinafungiwa kwahiyo timu zinabaki costant au kupungua sidhani kama kuna kuongezeka
Simba first round for this year is inevitable
Wameweka Team 6 tyuuh,Watu walibishia sana huu UZI kiko wapi sasa??
Timu shiriki zilizothibitisha ni nyingi tofauti na mwaka wa Corona.Wameweka Team 6 tyuuh,
Hadi Zamalek anaanzia preliminary stage.
mtaanzia nusu fainali mkuu, hongereni[emoji16]Maumivu haya kutoka chekechea fc aka wazee wa vidudu
Sasa utaratibu si zinakua 10? Kwahiyo zikiwa nyingi ndo zinapungua za kuanzia 1St rounds?Timu shiriki zilizothibitisha ni nyingi tofauti na mwaka wa Corona.
Sawa ngoja nimpigie yule designer wenu wa jezi aongeze na haya maoni kwenye zile jezi zenu nyeusiHaya Makolo maziuze zile points zenu 49,999 pesa matayopata mkatengeneze jezi nzuri si hizi miti krismasi mliyotuletea.
Makolo mulibwanjiMaumivu haya kutoka chekechea fc aka wazee wa vidudu
Tulia kinye weweMakolo mulibwanji
Dawa inaingia taaratibu endeleeni kupapaswa na mwamediTulia kinye wewe