Simba inaweza kuanzia preliminary siyo lazima kila mwaka timu 10 zianzie first round

Simba inaweza kuanzia preliminary siyo lazima kila mwaka timu 10 zianzie first round

Mwaka huu hata Huko shirikishi hawaendi dadeq.. watatolewa kwa Mkapa palepale kama mwaka Jana..Makolo ni Makolo tu
 
Zikithibitisha nchi zote 52 timu zitakuwa 64 yaani timu 40 kwa nchi 40 zinazoingiza timu 1 na timu 24 kwa nchi 12 zinazoigiza timu 2.

Hapo wote wataanzia preliminary stage, ikitokea baadhi ya nchi zimejitoa ndipo inafanyika hesabu kuwa ni timu ngapi zitabidi kusubiri raundi inayofuata

kwa mfano msimu wa mwaka juzi timu tatu pekee ndizo zilianzia raundi ya pili na kigezo kinachotumika kuchagua ni nani aanzie raundi ya pili ni wingi wa point wa club hisika

Kwahiyo, kama wzitajitoa nchi nyingi ndipo timu za kuanzia raundi ya pili zinaongezeka idipojitoa nchi hata moja basi wote wanaanzia huko huko
Mwaka huu timu ziko 58 na ni timu sita tu zitakazoanzia mkondo wa kwanza
 
Mkuu, omba radhi!
Naomba radhi kwa niaba
Tatizo ni watu wanaojiita wachambuzi. Ina maana kitu kama hiki walikuwa hawajui?
Hata Manara alitudanganya kuwa Yanga itaanzia first round kwa sababu ni bingwa halafu Simba itaanzia first round kama itachukua kombe la Azam
 
Inakuuma sana kwa Simba kutokuanzia Preliminary round
Manzokiiii
1659910809858.jpg
 
Ndio kwanza kuna ligi zinafungiwa kwahiyo timu zinabaki costant au kupungua sidhani kama kuna kuongezeka
Simba first round for this year is inevitable
Ulijifanya unajua kumbe unaungua jua. Makolo mulibwanji baaba
 
Back
Top Bottom