Simba inaweza kufuzu Kombe la Dunia la Vilabu 2025 bila kuchukua ubingwa wa CAF

Ok je hkn kigezo cha "aliyewahi kuwa bingwa wa cafcl kuchukuliwa" kikatumika kuwachukua esperance?
 
Makolo acheni propaganda za kulazimisha furaha elekezeni nguvu kwenye kuijenga timu yenu
 
Maana yake ni kwamba wote hao watatu CRB, Esperence na Petro de Luanda wapoteze Simba ashinde umempa nini Mungu?
[emoji23][emoji23][emoji23] wejama umefurahisha kweli. . (Eti umempa nini Mungu?)
 
Kwa hawa wachezaji wa mchongo n ndoto labda mwakan tujipange na full gear
 
Kweli ulikuwa umevimbiwa pilau ulipokuwa unafanya hayo mahesabu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Toa mfano wa jinsi gani hayo mambo matatu niliyoyaorodhesha yatokee halafu bado CRB au Petro apate point nyingi kumzidi Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…