King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
...Swali zuri kabisa,km Yanga inaendeshwa kwa hela za Manji kwanini timu asipewe Dewji?!
Sababu viongozi wa Simba ni matapeli wapiga dili.
Kiukwel kuna siku nilimfuatila Dewj akiwa anahojiwa kuhusu suala la simba, kama angepewa simba wangekuwa mbali sana simba
Hiyo akili kubwa aliipata baada ya kushindwa vibaya pale Singida United??Wewe uliona mbali sana na ni Mtu mwenye akili kubwa! Kichwa chako ni sawa na Vichwa 100,000 vya Utopolo.
Sibonike Wanamsimbazi tunashukuru sana kwa Mtizamo wako wa 2016 aya ya mwisho hapo, leo matunda tunayaona Mzee wa Utopolo umebaki kuugulia maumivu tu.Simba iliwahi kufanya yote hayo na haikuchukua ubingwa wowote wa Africa.
Sio sahihi kulinganisha Yanga au Simba na TP Mazembe. Mfano wa TP Mazembe Tanzania ni Azam. Manji ni kiongozi wa kuchaguliwa Yanga sio mmiliki wa club kama Katumbi. Note the difference.
Kessy kwenda Yanga inadhilihisha kwamba Simba kwa sasa ni feeder club kwa Yanga na Azam. Kazi yao kuendeleza vipaji na timu kubwa zinawachukua. Yondani, Tambwe na sasa Kessy.
Kocha Mayanja kakiri ubora wa vikosi vya Yanga na Azam. Hata mchezaji au wachezaji wakiumia kuna subs wa viwanjo sawa na aliyeumia.
Kama Yanga inaendeshwa kwa hela za Manji, kwa nini msimpe timu Mo Dewji?
Utani wako umekuwa mwiba upande wa Jangwani MkuuKweli timu mmempa Mo. Huku Yanga Manji hayupo. Wadaawa kamilisheni mchakato
Tumeshampa tayari..Simba iliwahi kufanya yote hayo na haikuchukua ubingwa wowote wa Africa.
Sio sahihi kulinganisha Yanga au Simba na TP Mazembe. Mfano wa TP Mazembe Tanzania ni Azam. Manji ni kiongozi wa kuchaguliwa Yanga sio mmiliki wa club kama Katumbi. Note the difference.
Kessy kwenda Yanga inadhilihisha kwamba Simba kwa sasa ni feeder club kwa Yanga na Azam. Kazi yao kuendeleza vipaji na timu kubwa zinawachukua. Yondani, Tambwe na sasa Kessy.
Kocha Mayanja kakiri ubora wa vikosi vya Yanga na Azam. Hata mchezaji au wachezaji wakiumia kuna subs wa viwanjo sawa na aliyeumia.
Kama Yanga inaendeshwa kwa hela za Manji, kwa nini msimpe timu Mo Dewji?
Daah mkuu za miaka mingi? kweli siku hazigandi aisee ila na sisi zamu yetu itakuja, ntarudi 2024 kukujibu tuombe uzimaMkuu, sasahivi ni zamu yenu kuumia[emoji28].
Vipi leo kibao kimegeuka unajisikiaje?Wamatopeni bwana, yaani kwa akili yako mchezaji mwenye akili zake timamu atakaa mwaka mzima hajapanda ndege halafu asitake kuhama?
Mbaya zaidi sisi tumetoboa mpaka kimataifa tofauti na wao hata makundi tu ilikuwa mtiani pamoja na kujifanya bora kipindi kile.Lengo ni kuwaonyesha kuwa, mashabiki wa Simba Sc tunapowabeza nyinyi Yanga tuko sahihi kwa 100%. Mlikuwa mnatamba sana mtani[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahah!!! Maisha yanaenda kasi sana.Kumbe ulijua kuwa Morrison atahama Uto ili aje Simba kupanda Ndege baada ya kuchoka na safari za Mabasi za Ifakara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji1787]
Kazi wanayo. Walitusumbua sana enzi zile.Hawa kenge walitutesa sana yaan mm kuanzia mwaka 2013 hadi 2017 nilikuwa nimekata tamaa ya kusikiliza mpira wa bongo nakumbuka ile mechi ya uto mpk half time wanaongoza 3 bila nilikimbia sikuendelea ile mechi sitoisahau nilirud niliposikia 2 zimerudi sasa zamu yao na sisi kutamba hawa uto miaka hii watatukoma
Kapewa sasa nadhani umeona tofauti ya manji na dewji...Swali zuri kabisa,km Yanga inaendeshwa kwa hela za Manji kwanini timu asipewe Dewji?!
Sababu viongozi wa Simba ni matapeli wapiga dili.