Simba itajuta kuifahamu Yanga, itajuta kuifunga Azam leo

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Sasa ni rasmi Simba itakumbana na Yanga katika nusu fainali ya Azam Cup. Ni baada ya Simba kuishinda Azam mabao 2-0 hivi punde.

Nawatahadharisha watani zetu wa Simba, mtajuta kuifahamu Yanga na kushinda leo. Tutawatandika tena bila huruma. Mtafute sare!

Kila mara huwa nawaambia watani zangu Simba kuwa Yanga aweza kuwa kibonde kwa wote lakini si kwa Simba. Hadi hapo, Yanga tumeshajihakikishia mashindano ya kimataifa.

Subirini muone mbungi!
 
Mkifuta zile 5 ndio tutajuta. Naona hapa Morison ndio mnaenda kuongea nae na ku review mkataba. But mpaka sasa hamuelewi kwanini refa aliwabeba jana. Kati ya jambo ambalo yule refa mtamlaumu basi ni kuwabeba nyinyi.
Njia pekee kwenda kushiriki kimataifa ni nyie kuwa wa pili kama sheria zinaruhusu maana makombe yote anachukua.
Simba hana pressure ya kushiriki internationally but Yanga ndio wanahaha.
 
Kuna Shabiki wa Yanga damu alikuwa anaangalia mpira kwa kweeli kwa mpira wa leo simba vs azam daah, Jamaa kakiri Simba ni level nyingine+Jamaa wa najua mpira.
This is SIMBA
Tulia ulambe dawa
Unajua Mzee Bakhresa alikuwa mshika pesa mikiani?mtoto wake Yusufu ni mikia lialia?jiulize kwa nini matajiri kama Azam wanawapa mikia wachezaji muhimu wanne?Azam ni mikia B ..ndio maana Domayo ana vichembe vya mwananchi kamvunja goti Kapombe msaliti....
 
Daaaaaah kweli wewe utopolo
 
Wachezaji wa simba wakikutana na utopolo wanakua hoi hoi ,hovyo hovyo yana cheza kivivu had yanakela
 
Kama Morrison na Tshishimbi watacheza basi Yanga anaweza kushinda mechi dhidi ya Simba. No Morrison and Tshishimbi, Yanga wahesabu maumivu.

Vv
 
Sio kila siku ni sikukuu mkuu,mlivyobahatisha siku ile msidhani itajitudia tena,siku hiyo tunawabaka kabisa sio kuwafunga tu,ni suala la muda tu,ila ukweli wa nani mkali utajidhihirisha siku hiyo,na ndio siku tutakayosheherekea rasmi ubingwa wetu wa mara ya 3 mfululizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…