Simba kama tuna 20b, tunashindwa kujenga uwanja?

Simba kama tuna 20b, tunashindwa kujenga uwanja?

Nikiachana na ushabiki lialia kwa Simba, mzee Rage kasema ukweli.
Rage na Kigwangala hawana tofauti wameifanyia nini Simba,
Wewe unamfahamu Rage Vizuri,
Hawa jamaa walishakaa pembeni waache kutoboa jahaz , Safar ni hatua.
Hata Roma haikujengwa siku mmoja.
 
Ndugu shukrani sana ila amenifanya niwe na stress nyingi sana
Usiwe na stress kisa mtu mmoja ambaye hajitambui. Anakutukania mama yako ikiwa yeye pia amezakiwa na mama yake achana nae. Aliyotukana hayo yoote kamtukana mamayake wala sio mamayako. Mpuuzie tu
 
ASALAAM, NIMEMSIKILIZA ADEN RAGE leo asubuhi kwenye kipindi cha Sport cha Wasafi Media. Anasema kama Simba wana 20B kwenye account watumie hizi pesa kuchukua mkopo ili kuanza ujenzi wa HOSTEL ZA KISASA, GYM YA KISASA KIWANJA CHA KISASA ili hizi hela zinazochangishwa zitumike kuandaa mfano michoro, kusogeza umeme, kutengeneza njia za kufika hapo BUNJU n.k Lakini kama pesa hazipo basi bodi ya SIMBA ije na mkakati mpya sina hakika kama kuchanga inaweza kujenga uwanja.

Baada ya kumsikiliza RAGE unaona kabisa SIMBA kuna shida kama kweli hizo B20 zipo why tudelay kuanza ujenzi??
Na je Kama hazipo SImba kwa nn wanadanganya? Pia Rage amesisitiza Simba inabd wanunue wachezaj wazuri kuanzia local player wa ndani badala ya kuwategemea akina MZAMIRU na KIBU watu wa mechi moja moja ili mwakani wasiteseke tena.

MY TAKE kwa Simba: SIMBA KWA NINI WASIANZE NA MFUMO WA CARD kupata hela mfano

Mwanachama hai wa Simba ajisajili kwenye mfumo (online app) na kulipia let say 30,000 per year

Mshabiki ajisajili kwenye mfumo (Online app) na kulipa let say 20,000 per year naamini kuanzia hapo SIMBA INAWEZA IKAJITEGEMEA VIZURI UKIONGEZA NA HELA za AZAM, sportpesa, CAFC, CAFCC n.k mfano una wanachama 600 na mashabiki mil 3 let say unaweza kukusanya bil 60 kwa mwaka kitu ambacho inawezekana


badala ya kumtegemea mtu mmoja hii haina afya siku za mbeleni wanasimba tupige kelele bodi wanyooshe maelezo.
Sijui kwa nini Simba na Yanga wanapenda kuongelea tu fedha za Mtu mmoja. Simba wanaongelea fedha za MO, na Yanga wanaongelea fedha za GSM.

Kwa nini Simba wasiongelee zile 51%?
 
Yaani watanzania hawafuatilii vitu wanamsikiliza manara na kigwangala Instagram hilo swali kila siku linajibiwa kwamba simba wamenunua bond za serikali faida ndo inaenda simba achana na manara na kigwangala wanakupoteza.
 
Hivi watanzania Tunaelewa Gharama za Kuendesha Club Ya Mpira? Sasa Billioni 20 ni nini? Kwamba simba hawana matumizi kabisa?

Mbona Billioni 20 kwa Club kama Simba Ni hela Ndogo ilipaswa itumike kulipa Mishahara ya wachezaji na Makocha kwa Mwaka Iwe imeisha.

Simba Billioni 20 labda wafanye biashara ila wakisema waitumie kwa kusikiliza watu hata msimu mmoja hawatoboi shida zina Rudi pale pale

Kocha wa Al ahaly wanao shindana na Simba Mshahara wake kwa Mwaka ni zaidi ya 1 billioni kuna wachezaji wanasajiliwa kwa billions of money yao washindani wetu billioni 20 wanatumia for 6 months sisi ndio tunataka hizo zijenge uwanja na Ziende Club eeeh
 
Back
Top Bottom