Simba kuamisha mechi yenu na KMC Tarehe 25 na kuipeleka arusha mnakwepa shamra shamra za ubingwa wa Yanga siku iyo?

Simba kuamisha mechi yenu na KMC Tarehe 25 na kuipeleka arusha mnakwepa shamra shamra za ubingwa wa Yanga siku iyo?

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni!

Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona mashabiki watakuwa wachache na ikichochewa na jambo la yanga inayotegemea kufanya sherehe zake za kukabidhiwa ubingwa wake wa 30 pale kwenye dimba la benjamini mkapa ambapo Ali Kamwe keshaweka wazi kuwa kombe ilo litashushwa kwa paredi ya helicopta uku paredi ya ardhini pia ikipamba moto!
 
Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni!

Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona mashabiki watakuwa wachache na ikichochewa na jambo la yanga inayotegemea kufanya sherehe zake za kukabidhiwa ubingwa wake wa 30 pale kwenye dimba la benjamini mkapa ambapo Ali Kamwe keshaweka wazi kuwa kombe ilo litashushwa kwa paredi ya helicopta uku paredi ya ardhini pia ikipamba moto!
unyiramba unakusumbua
 
Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni!

Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona mashabiki watakuwa wachache na ikichochewa na jambo la yanga inayotegemea kufanya sherehe zake za kukabidhiwa ubingwa wake wa 30 pale kwenye dimba la benjamini mkapa ambapo Ali Kamwe keshaweka wazi kuwa kombe ilo litashushwa kwa paredi ya helicopta uku paredi ya ardhini pia ikipamba moto!
Itakuwa.
 
Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni!

Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona mashabiki watakuwa wachache na ikichochewa na jambo la yanga inayotegemea kufanya sherehe zake za kukabidhiwa ubingwa wake wa 30 pale kwenye dimba la benjamini mkapa ambapo Ali Kamwe keshaweka wazi kuwa kombe ilo litashushwa kwa paredi ya helicopta uku paredi ya ardhini pia ikipamba moto!
Basi Yanga wakachezee Arusha ili aifuate Simba. Hizi akili zinatofautiana sana
 
Back
Top Bottom