Simba kuchezeshwa saa nane za usiku na mwarabu

Ni kwa sababu ya ujinga tu kutokana na kushindwa kuendelea na elimu walau ya sekondari. Hiyo saa nane ni kwa masaa ya Tanzania, lakini actually kwa eneo watakapokuwa wanachezea mpira (Morocco), huo muda ni saa tano. Sema tu siwezi kukufundisha hapa kila kitu kwa muda mfupi ukaelewa, inabidi kwanza uwe na msingi mzuri wa elimu, jambo ambalo bahati mbaya hauna
 
Una fikra na maoni ya kimadenge madenge!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…