Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Hata kama ni saa kumi na sawa, ila point 3 mhimu zije kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiria kidogo kabla huja post! Saa 8 usiku? Time ya wapi? Za kuambiwa, changanya na zako!!Hamna shida mambo madogo sana haya, watakula mirungi.
Wamemuoa bibi yako?Vp Mzee Boko ....na Mzee saido
Wakipigwa ni sawa na wamepiga na wakipga, wamepigamtapigwa mvua za magori
anacheza Champions League lakini, sio shirikisho la losersShida ni pale Mzee onyango atapoanza kusinzia
Tunaangalia mechi ya Robo Fainali ya Champions League, hiyo ya Raja ni kama ya shirikisho tuMtakula nyingi
Ndio. Mbona wewe hujachukua kwa IHEFUMchukue points Kwa raja ????
Ni kwa sababu ya ujinga tu kutokana na kushindwa kuendelea na elimu walau ya sekondari. Hiyo saa nane ni kwa masaa ya Tanzania, lakini actually kwa eneo watakapokuwa wanachezea mpira (Morocco), huo muda ni saa tano. Sema tu siwezi kukufundisha hapa kila kitu kwa muda mfupi ukaelewa, inabidi kwanza uwe na msingi mzuri wa elimu, jambo ambalo bahati mbaya haunaSIMBA KUCHEZESHWA SAA NANE USIKU NA MWARABU.
KWA Mjibu wa ratiba iliyopo Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) inaonesha kuwa Mchezo wa Mwisho wa Mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Raja Casablanca [emoji1026] na Simba [emoji1241] utachezwa Jumamosi ya April 1,2023 kuanzia saa nane kamili usiku. Kutokana na uzee wa wachezaji wetu ...sitoshangaa wakianza kusinzia uwanjani