MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwa hiyo unakubali ninyi pia hampo hapo hivyo ni underdog mbele ya Simba?Ndio uone De agosto haipo hapo kuonyesha kuwa ni kitimu kibovu sana, simba iko hapo lakini inachapwa na Yanga mfululizo kuonyesha kuwa Simba iko hapo kimchongo (kimakosa). Kaka hujui hata kufikiria na kutafakari.
Kwanza unapaswa kujua De 1°Agosto ni mabingwa wa Angola inapotokea Altetico Petro Luanda. Kwa hiyo jibu ni Ndiyo, Agosto ni bora kuliko Al Hilal.Je, De Agosto ya Simba ni bora kuliko Al-Hilal ya Yanga? Au zina ubora sawa?
Kama ukishindwa kutoa jibu sahihi kwenye maswali haya, basi Simba inaweza kuchapwa na Yanga tarehe 23 October bila kulazimika kumlaumu Mgunda. Na wala Nabi asilaumiwe kwa kutolewa na Al Hilal kwa kumlinganisha na Mgunda aliyeifikisha Simba makundi.
Kwenye mashindano yale, tatizo halikuwa ni Nabi bali wachezaji wenyewe.
Simba ni kibonde kwa Yanga kwenye ligi,, ngao na championship. Hushangai tyuu?Sisi Simba tunakubali tulipewa kibonde, na lazima ifike kipindi ninyi Yanga mtambue kuwa hatua ya kwanza ya ligi ya mabingwa hukutanisha timu kubwa dhidi ya vibonde, na kibonde huanzia kwake.
Esperance alipewa Plateu
Mamelodi alipewa La Passe
Raja alipewa Nigelec
Al Ahly akapewa Monastir
Simba tukapewa De Agosto
Al Hilal wakapewa Uto
Lengo ni kuhakikisha vibonde hawatoboi ili kuyapa hadhi mashindano
Taja timu alizozifunga yanga kuelekea makundi ambazo ni ngumu, pia taja timu ngumu zilizomfunga yanga kuelekea makundiPia naongezea simba haijawah kuifunga timu yeyote ngumu kuelekea makundi.. ref; nkana, platinum, red arrows na Agosto
Issue ni inashindaje? Tuliona vitendo ambavyo ni unsporting kama kumulika vitochi na mijitochi wachezaji usoni, kuwasha moto viwanjani, watu kuhofia kuingia vyumba vya kubadilisha nguo kuogopa pulizapuliza na kununua waamuzi. Hivi ni vitendo ambayo Yanga ama wanaogopa au wanashindwa au hawataki kuvitumia kumanipulate mechi,Si mpenzi wa timu yoyote lakini ni jiuliza Bora kipi kuwa na timu Bora kama yanga lakini haishindi au kuwa na hiyo mbovu kama Simba halafu inashinda