MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwa hiyo unakubali ninyi pia hampo hapo hivyo ni underdog mbele ya Simba?Ndio uone De agosto haipo hapo kuonyesha kuwa ni kitimu kibovu sana, simba iko hapo lakini inachapwa na Yanga mfululizo kuonyesha kuwa Simba iko hapo kimchongo (kimakosa). Kaka hujui hata kufikiria na kutafakari.
Hivyo Al Hillal msingeiweza hata iweje? Sasa kama ngoma kumpiga mtu hiyo jeuri mmeitoa wapi?
Ninyi kucheza na sisi kwenu ndio kombe la Dunia wakati Simba ninyi anawaona kama vidagala tu.