Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Au ulikuwa unaweka utabiri wa mechi ya Yanga vs Al Hilal?Simba watakandwa heavily 2-0.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ulikuwa unaweka utabiri wa mechi ya Yanga vs Al Hilal?Simba watakandwa heavily 2-0.
Pole sana...Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.
Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?
Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.
NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.
Makolo watakandwa heavily 2-0.
View attachment 3160930
dada labani hali yetu ni ngumu umeangalia match yetu ya jana????????????Baada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.
Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?
Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.
NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.
Makolo watakandwa heavily 2-0.
View attachment 3160930
Vipi mkuu wa wet dreamzHizo ni wet dream
Ushabiki wa kipuuzi kabisa huu na utabiri uliozidi upumbavu wowote uleBaada ya kutulia toka nilivyotoka ziarani nchini Uganda kwa museveni na GENTAMYCINE nimefanikiwa kufanya uchambuzi wa kina kati ya timu ya Simba na wapinzani wao Bravos Kwa kweli takwimu za Bravos kuibuka na ushindi zinatisha.
Kama tu Makolo de Mbu mbu Mbu walishindwa kuibuka na ushindi dhidi ya pamba (note goli la penalty sio goli) wataweza kuwadhibiti hawa wapinzani wao?
Hivyo Kwavile marefa wa kibongo hawatakuwepo ndivyo makolo watakandwa heavily.
NB: Kuna watu wanasema sijui loser cup (kombe la wamama ni rahisi hivyo makolo watashinda) ndio loser cup ni kurahisi .... lakini siyo Kwa makolo waliozoea kubebwa NBC premier league.
Makolo watakandwa heavily 2-0.
View attachment 3160930
Mshauri huyo best ako aache kubwia ugoloHabari yako Laban?
Maksudi ya mwitakuloYanga alipoteza mechi maksudi....unajua Kwann??
Ugolo ama ngada..hio itakua ngada arostoMshauri huyo best ako aache kubwia ugolo
Sijajua kwanini jf ina wagonjwa wngi wa akili kias hiki kama yeye.Ushabiki wa kipuuzi kabisa huu na utabiri uliozidi upumbavu wowote ule