Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Mpaka sasa ni yanga ndio amemfunga simba mara nyingi ukiangalia takwimu za jumlaTimu iliyopo inajitosheleza
Unakumbuka ilikutandikeni mbili kavu?
Imetolewa robo fainali ya CAFCL na mabingwa watetezi Kwa mbinde.
Lakini na nyinyi mlicheza mkaisgia robi tena mlipofuzu robo mlishangilia sana.Utopolo linaweweseka baada ya kujigundua linacheza na vilaza
MARUMO YAMESHUKA DARAJA HUKO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo la mashabiki wa yanga mnazipenda takwimu za nyuma Kwa timu yenu tu ila timu nyingine wasiangalie takwimu hizo za nyuma,Mpaka sasa ni yanga ndio amemfunga simba mara nyingi ukiangalia takwimu za jumla
Simba alicheza fainali kombe la caf cup ambalo ni la Tatu kwa ubora viwango vya caf yanga amecheza kombe la shirikisho la pili kwa ubora wa viwango vya cafTatizo la mashabiki wa yanga mnazipenda takwimu za nyuma Kwa timu yenu tu ila timu nyingine wasiangalie takwimu hizo za nyuma,
Mfano, mmekataa Simba kuleta takwimu kuwa walikuwa wa kwanza kucheza fainali shirikisho mkasema wasilete takwimu za miaka 47 iliyopita eti kombe la shirikisho hlikuwepo,
Sasa nyie mbona takwimu za miaka hyo hyo mnataka mzitumie?
Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.Kuanza malumbano na watu ambao msimu mzima hawajapata kikombe chochote kile, ni kupoteza tu muda.
Yaani timu ndani ya msimu mzima kiongozi wake anajivunia mafanikio ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya raundi ya pili! Kirahisi tu wamesahau ya kuwa kwenye mechi ya mwanzo kabisa wa ligi, ya Ngao ya Jamii walifungwa!
Topolo ni topolo tu.Simba alicheza fainali kombe la caf cup ambalo ni la Tatu kwa ubora viwango vya caf yanga amecheza kombe la shirikisho la pili kwa ubora wa viwango vya caf
Unazungumzia ubingwa huu huu wa ligi kuu (2022-2023) wa mezani au mwingine maana kwenye ubingwa huu kuna pointi 12 zenye kutatanisha sana.Kuanza malumbano na watu ambao msimu mzima hawajapata kikombe chochote kile, ni kupoteza tu muda.
Yaani timu ndani ya msimu mzima kiongozi wake anajivunia mafanikio ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya raundi ya pili! Kirahisi tu wamesahau ya kuwa kwenye mechi ya mwanzo kabisa wa ligi, ya Ngao ya Jamii walifungwa!
Hiki ndio kiliwafanya msiwafunge azam juzi?Unazungumzia ubingwa huu huu wa ligi kuu (2022-2023) wa mezani au mwingine maana kwenye ubingwa huu kuna pointi 12 zenye kutatanisha sana.
Vs Geita
Vs Azam
Vs Azam
Vs Namungo.
Fanya rivyuu kwanza ndo uje kutamba.
Ukosefu wa umakini ndiyo umewaponza Mamelody. Hawakuwa na sababu nyingine ya msingi ya kutolewa.Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.
Wydad baada ya kuonesha mpira mbovu dhdi ya Simba walilazimika kubadili bechi la ufundi haraka bila kuchelewa huku wakimtoa kocha mwenye profile kubwa hiyo ilileta uhai kwenye team.Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.