Simba Kujificha Kwenye kivuli cha Wydad ni Udhaifu

Simba Kujificha Kwenye kivuli cha Wydad ni Udhaifu

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Mashabiki wa Simba kujipa moyo baada ya kuona leo Wydad amemtoa Mamelod Sundowns huku mkiwacheka Yanga kumtoa Marumo aliyeshuka Daraja haibadilishi maana ya Yanga kucheza fainali, tengenezeni timu msimu ujao msije na kisingizio chochote.msimu wapili huu hamna ubingwa wa maana muliopata zaidi ya kufa kiume
Pambaneni kutengeneza timu ili mufanye vizuri na nyie ili tuwaandike vizuri pia
674A3E1D-2A4E-4620-B55C-926DC733651C.jpeg
 
Kuanza malumbano na watu ambao msimu mzima hawajapata kikombe chochote kile, ni kupoteza tu muda.

Yaani timu ndani ya msimu mzima kiongozi wake anajivunia mafanikio ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya raundi ya pili! Kirahisi tu wamesahau ya kuwa kwenye mechi ya mwanzo kabisa wa ligi, ya Ngao ya Jamii walifungwa!
 
Yanga watacheza kombe la MABINGWA msimu ujao CAFCL.

Wamepenya sana Makundi.

KLABU BINGWA ni ya wanaume
 
Mpaka sasa ni yanga ndio amemfunga simba mara nyingi ukiangalia takwimu za jumla
Tatizo la mashabiki wa yanga mnazipenda takwimu za nyuma Kwa timu yenu tu ila timu nyingine wasiangalie takwimu hizo za nyuma,

Mfano, mmekataa Simba kuleta takwimu kuwa walikuwa wa kwanza kucheza fainali shirikisho mkasema wasilete takwimu za miaka 47 iliyopita eti kombe la shirikisho hlikuwepo,

Sasa nyie mbona takwimu za miaka hyo hyo mnataka mzitumie?
 
Tatizo la mashabiki wa yanga mnazipenda takwimu za nyuma Kwa timu yenu tu ila timu nyingine wasiangalie takwimu hizo za nyuma,

Mfano, mmekataa Simba kuleta takwimu kuwa walikuwa wa kwanza kucheza fainali shirikisho mkasema wasilete takwimu za miaka 47 iliyopita eti kombe la shirikisho hlikuwepo,

Sasa nyie mbona takwimu za miaka hyo hyo mnataka mzitumie?
Simba alicheza fainali kombe la caf cup ambalo ni la Tatu kwa ubora viwango vya caf yanga amecheza kombe la shirikisho la pili kwa ubora wa viwango vya caf
 
Kuanza malumbano na watu ambao msimu mzima hawajapata kikombe chochote kile, ni kupoteza tu muda.

Yaani timu ndani ya msimu mzima kiongozi wake anajivunia mafanikio ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya raundi ya pili! Kirahisi tu wamesahau ya kuwa kwenye mechi ya mwanzo kabisa wa ligi, ya Ngao ya Jamii walifungwa!
Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.
 
Kuanza malumbano na watu ambao msimu mzima hawajapata kikombe chochote kile, ni kupoteza tu muda.

Yaani timu ndani ya msimu mzima kiongozi wake anajivunia mafanikio ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya raundi ya pili! Kirahisi tu wamesahau ya kuwa kwenye mechi ya mwanzo kabisa wa ligi, ya Ngao ya Jamii walifungwa!
Unazungumzia ubingwa huu huu wa ligi kuu (2022-2023) wa mezani au mwingine maana kwenye ubingwa huu kuna pointi 12 zenye kutatanisha sana.
Vs Geita
Vs Azam
Vs Azam
Vs Namungo.
Fanya rivyuu kwanza ndo uje kutamba.
 
Ulianza vzr unamaliza kwa porojo,sema km mwanasoka.
1.simba watimize mahitaji ya kocha kwani kikosi nikidogo kwa ubora wa wachezaji.
2.watafute kocha mzuri waviungo hili ni tatizo kubwa sn kwa simba sasa na hasa recovery baada ya mechi ngumu.
3.watafute mbadala wa onyango/waongeze beki mmoja.
4.kocha nae ajirekebishe hajui/hapendi kwenda na muda. .unakuta imefika dk 65-70 huoni mabadiliko lkn bado anaona sawa tu instead ya kuchange mbinu. ..km angekua kocha mjanja angeweza watoa Wydad hili mm naamini mpk kesho lingewezekana ila kocha ndio ilikua kikwazo nahasa game ya Taifa
 
Kuongoza club ya Simba ni rahisi sana ,imagine mashabiki ambao kwa miaka 5 mfululizo wameshindwa kuingia nusu final wanaona ni mafanikio maana waliowatoa wameingia final and they proud aisee
Yanga kwa Sasa pressure yetu kubwa ni komba la Cafcc na Asfc ambapo Leo tunakutana na Singida
Usisahau ngao ya jamii tunayo na NBC tunalo kombe na tumefanya kama vile hatuna bado tunapambana
 
Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.
Ukosefu wa umakini ndiyo umewaponza Mamelody. Hawakuwa na sababu nyingine ya msingi ya kutolewa.
 
Mtani usijifiche kwenye kichaka cha makombe nasubili utuambie kuwa memirod ni mbovu kwa sababu ya kutolewa na Waydad kama mlivyo sema kwa simba.
Wydad baada ya kuonesha mpira mbovu dhdi ya Simba walilazimika kubadili bechi la ufundi haraka bila kuchelewa huku wakimtoa kocha mwenye profile kubwa hiyo ilileta uhai kwenye team.
Ila mnajisikia namna gani kushangilia huu upuuzi kweli haya ndio mafanikio Simba inayoyataka katika kipindi ambacho team imemaliza msimu pasi na kombe hata Moja kati ya makombe 5 uliyoshiriki !?
 
Back
Top Bottom