Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Umeongea kishabiki Sana ,lakini bado unahoja Simba kiukweli haijakaa vizuri lakini mpira ni dk 90
Iko wazi ...,....pale Simba at least kidgo ntibazokiza ndiye anacheza Kwa kujituma .....na inonga ....ila the rest wanacheza kifaza
 
Inaonekana Simba kupata nafasi ya kucheza hiyo michuano inawauma Sana, hii sijui itakuwa thread ya ngapi kuanzisha kuhusu Simba na hii michuano.
Hicho kikosi unachokisifia kilifungwa na Simba 2-0 na baadae kufungiwa kwenye ngao ya jamii.
Pia msisahau msimu uliopita mlikuwa pamoja na Simba kwenye hatua ya awali ya michuano mikubwa Africa Ila mkaangukia kwenye loser cup.
Ushindi wa Matuta
 
Naona uto mmejikusanya kwenye huu uzi kuforce furaha kutamani mambo ambayo mmeyashindwa
How come simba awe na kikosi cha yanga kucheza na al ahly wakati kikosi hicho cha yanga kilimshindwa al hilal? Nonsense!
Simba alipita Kwa kikutana na timu mbovu
 
Uchambuzi

Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji Cha Simba [emoji240] [emoji240] kinaweza kumtoa giant Al ahly

Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. + kushambulia kama wachezaji wa Yanga .......max mzengeli .......yao

Pia unahitaji wachezaji kama Aziz ki ambao wanaweza kufunga mipira iliyokufa at least kupata goli pale mkitingwa

NB: Kama utam,betia kolo .......basi hiyo pesa nunua sabuni pigia puriView attachment 2739720
Sasa mbona hukumfunga Simba na kikosi chako?
 
Game naipa Hamsini Hamsini Simba anaweza pita au asipite, Ligi yetu imekua sana mara zote Simba wa Kimataifa hua wanakiwasha , acha vioja bwana mdogo facken kabisa.
 
Uchambuzi

Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji Cha Simba [emoji240] [emoji240] kinaweza kumtoa giant Al ahly

Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. + kushambulia kama wachezaji wa Yanga .......max mzengeli .......yao

Pia unahitaji wachezaji kama Aziz ki ambao wanaweza kufunga mipira iliyokufa at least kupata goli pale mkitingwa

NB: Kama utam,betia kolo .......basi hiyo pesa nunua sabuni pigia puriView attachment 2739720
Yanga hii ambayo haijawahi kuingia hatua ya makundi kwenye caf champions league kwa miaka 25!!, huoni hata aibu!! Yanga hii ambayo ina hadhi ya kuanzia mchangani kwenye mashindano ya caf champions league!! Yanga hii ambayo haijui hata kupiga penati!! Au unazungumzia yanga ipi? Lakini hii ya jangwani ni maumivu matupu!!
 
Back
Top Bottom