Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Ingekuwa hivyo basi Kubet ingekuwa rahisi sana, simba huwa siamini kubwa ni mbovu shida tunalinganisha na Young Africans ya sasa, lakini huenda hao A Alhly wanapigwa na simba simple ni keakuichukulia simba ni underdog.

Mpira una mambo yake
Ngoja tuone
 
Umesikia lengo la klabu yako lililotolewa na viongozi wako? Hersi na Kamwe wametamka hadharani studio kuwa lengo la Yanga ni kufikia hatua ya makundi ya CAF CL
Ile ni target ndogo
 
Kapimwe mkojo wewe... Sio bure
 
Huo mpira wa possession simba walishaona hauwasaidii pira biriani ndio lilifanya mamelody sundowns wakatolewa Caf champions league pira nare nare limepitwa na wakati.
 
Huo mpira wa possession simba walishaona hauwasaidii pira biriani ndio lilifanya mamelody sundowns wakatolewa Caf champions league pira nare nare limepitwa na wakati.
Posesheni futbol haina tija zaidi ya kuwafurahisha wapenzi watazamaji, nakubaliana naww 100%... Kama mtu anabisha ni ukazaji wa fuvu tu na anatakiwa kujiuliza, ni kwanini katika timu 10 bora afrika kwasasa zaidi ya 80% hawatumii aina hiyo ya uchezaji?....
 
Wanaelewa basi simba sio wajinga kumpa team robertinyo yaani kocha unakuwa kama Patrick ausem anaenda ugenini kwa al ahly anampigia pira biriani alikufa mkono ila kocha kama kishingo yule na robertinyo huwezi kuwafunga tano halafu bado anakuja mpira wa simba ni ule aliocheza na power dynamo mpira unatakiwa uwe na balance sio unafunga goal zinarudishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…