Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdallah 'Try Again' ametuma ujumbe kwa mashabiki wa timu hiyo kupitia mitandao ya kijamii akiandika; "Wa mwisho kufurahi, hufurahi zaidi. Mtafurahi kwelikweli,"
Simba itatangaza mchezaji mwingine mpya leo saa 5 usiku zikisalia saa chache kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa kesho Jumapili Januari 15 saa 5:59 usiku. Hadi sasa Simba imemtambulisha Saido Ntibazonkiza ambaye tayari ameshacheza mechi moja ya Ligi Kuu akiitumikia Simba na kufunga mabao 3.
#mwanaspoti
Simba itatangaza mchezaji mwingine mpya leo saa 5 usiku zikisalia saa chache kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa kesho Jumapili Januari 15 saa 5:59 usiku. Hadi sasa Simba imemtambulisha Saido Ntibazonkiza ambaye tayari ameshacheza mechi moja ya Ligi Kuu akiitumikia Simba na kufunga mabao 3.
#mwanaspoti