Embu soma post namba 30 na 31 kwanza halafu siku nyingine ujifunze kujibu kitu kulingana na hoja ya mtu aliyotoa.Hilo ni kwa siku za hivi karibuni ila tuangalie haya mambo ya kusajili na kutangaza wachezaji kwa style hizi ulipoanza, Simba walikuwa wanatumia utaratibu gani.
Sisemi sisi ndiyo tulianza kwanza, ningependa tu kufahamu
Hahahah 🤣😂🤣Embu soma post namba 30 na 31 kwanza halafu siku nyingine ujifunze kujibu kitu kulingana na hoja ya mtu aliyotoa.
Hebu tumia factor hiyo ya umri kuongelea kiwango cha Messi, Modric, pepe, Giroud n.k kwenye World Cup.Viongozi wa Simba kuna wakati utafikiri wapo "serious" lakini ukiwafuatilia kwa makini hawapo "serious" kabisa. Ni kama vile marehemu Hanspope aliondoka na "password" ya usajili. Utaona picha kwenye vyombo vya habari bodi imekaa kuzungumzia usajili halafu msimu wa pili huu timu inapata shida kwenye kiungo mkabaji na mshambuliaji wa kati wakati madirisha mawili ya usajili yameshapita. Tangu Fraga na Lwanga waumie Simba haijatafuta kiungo mkabaji asili. Tangu Kagere na Magalu uwezo ushuke na Boko aandamwe na majeruhi Simba haijatafuta mshambuliaji hasa wa kati. Simba wana timu nzuri lakini hizi nafasi mbili zinakosa watu waliokamilika hasa na kuzimudu kwa ufasaha.
Na hata hili dirisha dogo kama sio kocha mpya kuwasanua viongozi wa Simba lilikuwa lipite hivi hivi bila kutafuta mshambuliaji asili wa kati. Sababu utaambiwa kuwa Sidoo yupo eti kwa sababu mechi ya kwanza tu kafunga goli tatu, Wanasahau kuwa umri wa Saidoo na Boko pamoja na uwezo mkubwa walionao bado wasingeweza kwenda sambamba na na mechi zilivyo karibu karibu ukizingatia Simba inashiriki mashindano matatu kwa mpigo. Na mbaya zaidi wote Saidoo na Boko ni watu wa pancha sana majeraha kwao jumlisha umri ingekuwa vigumu kutoa mchango wao mpaka mwisho wa msimu.
Aliwahi chezea Real Madrid miaka 2 na Juventus miaka 3
Tupeni info jamani
Hata hivyo Yanga huwa Kichuya ni mwiba kwenuKelele nyingii!! Mwisho wa siku kumbe ni Shiza Kichuya!
The same factor muongelee RooneyHebu tumia factor hiyo ya umri kuongelea kiwango cha Messi, Modric, pepe, Giroud n.k kwenye World Cup.
Nguvu moja...jamaa akiimudu vizuri namba 6, Mnyama atatisha zaidi ya Sasa.Klabu ya Simba SC imemtambulisha kiungo mkabaji Ismail Sawadogo kutoka klabu ya Difaa El Jadida ya nchini Morocco.
Sawadogo (26) raia wa Burkina Faso anatarajiwa kuwasili nchini kesho Jumapili alfajiri ambapo atasubiri kujiunga na kikosi kitakapowasili Jumanne kutokea Dubai.
Weka na za morrison[emoji23][emoji23]08/2021 - 2023
Difaâ Hassani El Jadida
04/2021 - 08/2021
Al Suwaiq SC
11/2020 - 04/2021
ENPPI
01/2020 - 05/2020
AS Douanes
08/2019 - 01/2020
Al Arabi SC
01/2019 - 06/2019
US Ouagadougou
01/2018 - 06/2018
Salitas FC
09/2017 - 01/2018
Al Mabarrah SC
07/2016 - 09/2017
Rail Club du Kadiogo
Au basi tumuongelee Mwepu aliyelazimika kustaafu akiwa na miaka 24 tu?The same factor muongelee Rooney
Mnoo bro....Nguvu moja...jamaa akiimudu vizuri namba 6, Mnyama atatisha zaidi ya Sasa.
Scars Kalpana OKW BOBAN SUNZU