Simba kuwa mabingwa wa champions league Afrika

Hivi Mtani, makundi wakati yanaanza ungeamini hata chembe kwamba Mnyama Pori atapita kwenye kundi?

Achilia mbali baada ya kulambishwa 5, 5.

Though ni ndoto kubwa sana, lakini inawezekana.
Ooh. Haya bana Mtani japo mlipo sasa ni Mtoano na kwa ule mwendo wa 5,5 sijui kama hapo mnapopaita kaburini zinaezekana kurudishwa na ushindi kupatikana. Labda mfungwe chache ugenini yaezekana ikawa kweli hiyo ndoto kubwa.
 
Ooh. Haya bana Mtani japo mlipo sasa ni Mtoano na kwa ule mwendo wa 5,5 sijui kama hapo mnapopaita kaburini zinaezekana kurudishwa na ushindi kupatikana. Labda mfungwe chache ugenini yaezekana ikawa kweli hiyo ndoto kubwa.

Mtani kiuhalisia hiyo ni ndoto kubwa, kama ninavyosema.

Hapa tulipofika ni zaidi ya tulivyotegemea, ndiyo maana tuko tayari kwa lolote.

Lakini mpira una maajabu yake (we are banking on those miracles) na unaweza shangaa ndoo inatua bongo.
 
Akili za mikia mikia hizo.
 
Kwani Al Ahly si alikufunga na yeye 5 na huyo vita club si alikufunga tano.

Kwanini ushindi wako ndio uonekane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh! Hapo penye kuomba sasa Mtani. 😎😎😎😎

Hapo unajiombea wewe pia Mtani, maana tukianza kupasha hivi viporo vya kwenye mafreezer tutakupita shaaa!

Halafu sasa hivi hata ule msemo wa kila mtu ashinde mechi zake umepungua nguvu baada ya nyie kuanza kupigwa ovyo.
 
Hapo unajiombea wewe pia Mtani, maana tukianza kupasha hivi viporo vya kwenye mafreezer tutakupita shaaa!

Halafu sasa hivi hata ule msemo wa kila mtu ashinde mechi zake umepungua nguvu baada ya nyie kuanza kupigwa ovyo.
Mie nitakata tamaa ligi ikiisha Mtani nje ya hapo naona kuwa na viporo si sababu ya kuwa mtavishinda vyote hasa kwa ligi yetu yenye maajabu ya kila aina.

Labda Miamala ikihusika Mtani ila nje ya hapo kuamini viporo vyote vitapashika ni mpaka pale vitakapopita na ikawa hivyo Mtani.
 

Miamala haitahusika, na viporo vitaliwa vyote. Ubaya sasa hata ikitokea kimoja kikachacha ninyi nao mnasua sua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…