Simba kuwa mabingwa wa champions league Afrika

Nusu tunaweza kufika tukipewa Horoya au Mamelod ila ubingwa mkuu tusubiri mwakani
Naunga mkono hoja mkipewa Horoya au Mamelodi. Siungi mkono kuchukua ubingwa mwakani au mwaka keshokutwa kwa uwekezaji huu mlionao.
 
watu wakweli kama nyinyi wamebaki wachache sana dunia hii
 
Simba akiwa bingwa nitaamini uchawi Upo na kuanzia siku hiyo nitakuwa muumini Mkuu Wa uchawi na ulozi.


Kuanzia siku hiyo nitatembea kwa miguu kutokea chalinze mpaka Kariakoo makao makuu ya wana msimbazi kuwaomba samahani wanasimba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…