SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.
Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.
Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.
Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.
Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.
Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.
Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.
Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.