Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

Acha utahaira singida kacheza na Tabora mechi Gani ya ligi ama ya kirafiki? Ninachojua singida kacheza na ken gold mechi ya kwanza akashinda 3-1, mechi ya pili singida kacheza na Kagera sugar akashinda 1-0, sijui iyo singida iliyocheza na Tabora unayoisema ni ipi labda!
Alafu jikite kwenye hoja nimesema Simba kacheza na timu dhaifu kulingana na timu husika kufungiwa na ratiba kuwabeba Simba iyo aiondoi ukweli ukitaka kubali ukitaka acha, maana mashabiki fata upepo wako wengi uko mtaa wa pili ambao mpira wameujulia ukubwani!
Alaaa! Yaani unajisnitch mwenyewe. Kama unakiri mwenyewe kuwa Singida mpaka inakwenda kucheza na Simba ilikuwa imeshinda mechi zake zote mbili, haudhani hoja yako imefia hapo hapo? Kweli huko wenye utimamu wako wawili tu.

Halafu umeona mjumbe wenu wa bodi Zakayo Nchemba anavyotuvurugia ligi hadi unachanganya haujui timu ipi imecheza na Simba.
 
Alaaa! Yaani unajisnitch mwenyewe. Kama unakiri mwenyewe kuwa Singida mpaka inakwenda kucheza na Simba ilikuwa imeshinda mechi zake zote mbili, haudhani hoja yako imefia hapo hapo? Kweli huko wenye utimamu wako wawili tu.

Halafu umeona mjumbe wenu wa bodi Zakayo Nchemba anavyotuvurugia ligi hadi unachanganya haujui timu ipi imecheza na Simba.
Usikurupuke Kama umeshikwa ugoni angalia alichoandika mwenzako na ndicho nilichomjibu usitake Tumaini Rage na msemo wake ebho!
 
Mapovu yanakutoka kisa Simba anaanza mechi tatu mfululizo Dar nyie mmesahau kipindi Cha zahera mnatembeza makopo mechi zote za duru ya kwanza mlicheza Dar.
Halafu Kama Simba kaanza na timu dhaifu si furaha kwenu maana akija kucheza na timu ngumu atapoteza point.
Mechibili mmeshaanza kulalamika.
 
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!

Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!

B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!

Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!

Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!

Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!

Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!

Pia soma:FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
Kwa hiyo ukitaka baada ya ushindi mashabiki walie?. Kazana Mkuu bado kidogo utaanza KUPAA🤣
 
Ila ukiwa yanga kweli unakuwa kituko kipindi simba anacheza champions league yanga walilamika kwa nn simba ina viporo ila sasa hivi yanga ina viporo viwili simba hawalalamiki ila yanga ndio wameanza kulalamika baada ya kushindwa kwenye sakata la kagoma na aweso na wachezaji wote wa ndani iliotaka kuwasajili simba yanga acheni kulalamika chezeni mpira mmeshinda NBC premier league misimu mitatu kwa raisi huyo huyo mliyekuwa mnasema anawaonea na ni simba siku mkikosa ubingwa naona mtaenda ikulu kama mlivyotaka kufanya awali.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nimekubali mashabiki wa simba tunaongea sana, mafanikio walionayo yanga misimu ya hivi karibuni ingekuwa ni simba kuna watu wasingekunywa maji, hapo ni michezo 2 tu ya ligi kuu lakini tambo zake km wamefika fainali ya club bingwa, ovyo kabisa
 
Mwanzo wa ligi mlishasema simba ni timu mbovu. Ila bado mnaiongelea, unaiongeleaje timu mbovu? Iacheni simba mbovu icheze.
Iongeleeni yanga timu bora duniani kwa sasa.
Kuna uwezekano nimeanza kuwa shabiki wa simba kabla hujazaliwa, usinipangie cha kuandika
 
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!

Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!

B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!

Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!

Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!

Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!

Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!

Pia soma:FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
Hamna timu mle.
 
Nimekubali mashabiki wa simba tunaongea sana, mafanikio walionayo yanga misimu ya hivi karibuni ingekuwa ni simba kuna watu wasingekunywa maji, hapo ni michezo 2 tu ya ligi kuu lakini tambo zake km wamefika fainali ya club bingwa, ovyo kabisa
Yanga wanaokunywa Hadi supu ya vibudu?. Ulishawahi kuona timu gani imeweka mabango ya magoli?. Hakuna timu ya wastaarabu na wasomi kama Simba.
 
Waacheni nao wafurahi. Maana muda wa kumkataa Mangungu ukifika, furaha yote itayeyuka kama barafu iyeyukavyo kwenye joto.
 
Raha ya goli lishangiliwe likiwa bado la moto moto, sio unasubiri hadi mechi imalizike ndio uanze kushangilia magoli
 
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!

Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!

B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!

Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!

Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!

Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!

Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!

Pia soma:FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
Vital O nao nealicheza wachezaji 9
 
Back
Top Bottom