Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

Yani kisa job ndugai kuwa mgeni rasmi ndiyo ususe kwenda uwanjani na kususa Hadi kuangalia TV? serious mkuu??

Hakuna shabiki kindakindaki wa Simba anayeweza kukusapoti huu upuuzi wako..Mpira siyo uadui,Mpira siyo uhasama,Mpira ndy mahali ambapo mnaweka Kando tofauti zenu kisha mnashangilia pamoja..umeniangusha sn mwanasimba mwenzangu
Mkuu hivi wewe unafuatilia vizuri jinsi Ndugai alivyowaumiza watanzania kwenye upitishaji wa sheria kandamizi kwa wanyonge? Unajua yeye ndiye aliyeshauri watanzania tutozwe tozo za simu, miamala na LUKU? Sasa mtu kama huyu anapoalikwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio muhimu kama hili wewe unaona sawa tu? Nasikitika sana.
 
Ulimtaka malaika gani awe mgeni rasmi shekh!!

Ukizungumzia wasafi kwenye nchi hii ni WCB pekee
Ni afadhali hata wasingealika mgeni yeyote kuliko kumualika Ndugai. Ovyo kabisa.
 
Humanity nimuhimu sana

Huyu job hana ubinadamu kabisaa

Anahistoria mbaya kabisa

MO DEWJI Anahusika kusafisha uchafu wa job ndugai
 
Hakuna mgeni rasmi pale
kweli kabisa mkuu. Takataka ile haiwezi kuwa mgeni rasmi kamwe. Tuhesabu tu siku ya leo Simba hatuna mgeni rasmi.
 
Humanity nimuhimu sana

Huyu job hana ubinadamu kabisaa

Anahistoria mbaya kabisa

MO DEWJI Anahusika kusafisha uchafu wa job ndugai
Yaani siku ya leo imeharibika mapema kabisa. Natamani siku hii iishe haraka ifike Jumatatu tuendelee na ratiba nyingine.
 
Mkuu hivi wewe unafuatilia vizuri jinsi Ndugai alivyowaumiza watanzania kwenye upitishaji wa sheria kandamizi kwa wanyonge? Unajua yeye ndiye aliyeshauri watanzania tutozwe tozo za simu, miamala na LUKU? Sasa mtu kama huyu anapoalikwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio muhimu kama hili wewe unaona sawa tu? Nasikitika sana.
Achana na siasa mkuu hii ni siku maalum ya kupunguza mawazo duniani

Kuna watu wamevuka mipaka ya nchi hii kuifuata Simba na si Ndugai

Ndugai yuko chini ya watu alichokifanya yeye ni kutekeleza maagizo tu
 
Mkuu hivi wewe unafuatilia vizuri jinsi Ndugai alivyowaumiza watanzania kwenye upitishaji wa sheria kandamizi kwa wanyonge? Unajua yeye ndiye aliyeshauri watanzania tutozwe tozo za simu, miamala na LUKU? Sasa mtu kama huyu anapoalikwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio muhimu kama hili wewe unaona sawa tu? Nasikitika sana.
JPM alifanya zaidi ya hayo uliyoorodhesha hapo juu,lkn alishiriki ktk michezo na amekuwa mgeni rasmi Hadi kwenye Derby ya Simba na yanga..Nani alilalamika na kuhamasisha watu wasusie km hivi unavyofanya Kwa ndugai?..Mpira siyo uadui mkuu,tunaweka tofauti pembeni na kugonga cheers..tumimalizana na michezo tunarudiana kupamabana mambo ya tozo na Sheria kandamizi

Mimi sikusapoti
 
Yaani siku ya leo imeharibika mapema kabisa. Natamani siku hii iishe haraka ifike Jumatatu tuendelee na ratiba nyingine.

Sijajua nini kipo nyuma ya pazia

Inakuwaje job ndugai mwenye mambo mengi ya hovyo, yakuudhi, kuumiza jamii na kufedhehesha taifa kapenya jukwaani

Nani kasuka mpango wa kumualika nakufanikisha?

Watanzania tunafedheheshwa sana.
 
FB_IMG_16306518899957353.jpg
 
Stupid post
very stupid post. mambo ya kulazimisha imani za siasa kwenye michezo. upuuuzi mtupu. Halafu mwisho linasema eti Manara asingekubali. Kuna wajinga wanaamini Manara alikuwa mtu mkubwa sana Simba. Mtu ambaye hata kikao cha bodi hanusi anawezaje kufanya maamuzi ya club.
Tumia akili kamanda,haya mambo yanafanya wapinzani tuonekane hamnazo. Mimi simkubali Ndugai,lakini ndo kashakuwa spika mhimili wa nchi. sina uwezo wa kufanya kila mtu asimkubali
 
Sijajua nini kipo nyuma ya pazia

Inakuwaje job ndugai mwenye mambo mengi ya hovyo, yakuudhi, kuumiza jamii na kufedhehesha taifa kapenya jukwaani

Nani kasuka mpango wa kumualika nakufanikisha?

Watanzania tunafedheheshwa sana.
Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema sana. Angekuwepo asingekubali mpuuzi huyu aalikwe kuwa mgeni rasmi. Si afadhali hata wangemualika Steve Nyerere awe mgeni rasmi. Ina maana walikosa watu kabisa? So sad😡😕
 
Tunakwenda uwanjani kwa ajili ya Mpira na sio Siasa.

Japo ninafahamu kuwa huyu Ndugai ni Binadamu pekee aliyewahi kumuona mke wa Yesu. Ila uwepo wake uwanjani ni kwa ajili ya Soka na sio Uspika wake. Maana hawezi kutangaza kuwa leo ni skukuu ya kitaifa

Tunakwenda uwanjani asubuhi tu
 
very stupid post. mambo ya kulazimisha imani za siasa kwenye michezo. upuuuzi mtupu. Halafu mwisho linasema eti Manara asingekubali. Kuna wajinga wanaamini Manara alikuwa mtu mkubwa sana Simba. Mtu ambaye hata kikao cha bodi hanusi anawezaje kufanya maamuzi ya club.
Tumia akili kamanda
Mkuu Simba ni klabu kubwa Afrika na duniani. Wewe kwanini unadhani Ndugai anafaa kuwa mgeni rasmi pamoja uchafu wake wote ule? Please explain briefly.
 
JPM alifanya zaidi ya hayo uliyoorodhesha hapo juu,lkn alishiriki ktk michezo na amekuwa mgeni rasmi Hadi kwenye Derby ya Simba na yanga..Nani alilalamika na kuhamasisha watu wasusie km hivi unavyofanya Kwa ndugai?..Mpira siyo uadui mkuu,tunaweka tofauti pembeni na kugonga cheers..tumimalizana na michezo tunarudiana kupamabana mambo ya tozo na Sheria kandamizi

Mimi sikusapoti

Kila siku watu tunabadirika

Unamaanisha mpaka Leo unasafiri kwa miguu popote uendako kama miaka ya 1940?

Bado unaandika barua Badala ya simu?

Usiwe na sababu hafifu kiasi hicho

Mambo ya wakati uliopita sio lazima kutekelezwa na kufatwa.

Mbona Magufuli aliikana corona. Leo imekuwaje?
 
JPM alifanya zaidi ya hayo uliyoorodhesha hapo juu,lkn alishiriki ktk michezo na amekuwa mgeni rasmi Hadi kwenye Derby ya Simba na yanga..Nani alilalamika na kuhamasisha watu wasusie km hivi unavyofanya Kwa ndugai?..Mpira siyo uadui mkuu,tunaweka tofauti pembeni na kugonga cheers..tumimalizana na michezo tunarudiana kupamabana mambo ya tozo na Sheria kandamizi

Mimi sikusapoti
Haswaa mkuu tena umemsahau na Bi Hangaya je alifaa kuwa mgeni rasmi kwenye derby ya kaliakoo?
 
Mkuu hivi wewe unafuatilia vizuri jinsi Ndugai alivyowaumiza watanzania kwenye upitishaji wa sheria kandamizi kwa wanyonge? Unajua yeye ndiye aliyeshauri watanzania tutozwe tozo za simu, miamala na LUKU? Sasa mtu kama huyu anapoalikwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio muhimu kama hili wewe unaona sawa tu? Nasikitika sana.
angealikwa nani huko serikalini asiyeumiza watanzania? Taja mmoja,mambo ya siasa acheni kwenye siasa
 
Back
Top Bottom