Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.
 
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.
Niliwai kusema hapa ya kuwa hii mikataba ambayo hivi vilabu vinaingia na wanatutangazia uhalisia wake utaonekana muda sio mrefu na kinachotokea simba ndio uhalisia wenyewe wamekuwa na mambo mengi ya ujanja ujanja kuwadanganya wanachama wao juu ya mikataba wanayoingia kwa kuongeza sifuri kwenye ile mikataba lakini kiuhalisia ni uongo,, auwezi kuwa na akili timamu eti timu ina mikataba kama mbet b.26, matangazo ya mhindi wa bombay yamejaa kwenye jezi, na bado timu inapokonywa bus kwa kushindwa kumalizia malipo, na bado wachezaji wanalia njaa bonus zao imekuwa dana dana, na bado usajili wa wachezaji wanaangaliwa free agent au wachezaji wa milion 20 ndio wasajiliwe,,Uwekezaji gani wa ajabu ajabu namna hiyo? Bado zile b.20 za mwekezaji azijulikani ziliwekwa benk gani na zinafanya nini, maana zingekuwepo tusingekuwa tunaona aya yanayoendelea kwenye klabu,,Timu kubwa imebaki inakodi costal kuwapeleka mazoezini haina tofauti na maji maji ya songea,,Timu kubwa inakuwa haina kocha wa makipa, haina kocha mkuu wanakwenda kumuazima mgunda aje kupiga deiwaka? Kwakweli kuna vituko vinapatikana Tanzania pekee
 
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.

😂 😂 😂 😂 ivi ushawahi kujiuliza kwanini timu nyingi duniani zna mwekezaji na zna mapato? ukweli ni kwamba biashara ya mpira haina return kiuhalisia watu wanafanya uwekezaji kwa sababu ya mapenzi ila sio kwamba wanapata faida, ukijumlisha mapato yote ya timu ila bado lazima kue na mfadhili, skulaumu kwa sababu unaongea kwa hisia ila mo akiondoka lazima simba itetereke vya kutosha, na lazima kue na sintofaham nyingi sana kwenye club
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ivi ushawahi kujiuliza kwanini timu nyingi duniani zna mwekezaji na zna mapato? ukweli ni kwamba biashara ya mpira haina return kiuhalisia watu wanafanya uwekezaji kwa sababu ya mapenzi ila sio kwamba wanapata faida, ukijumlisha mapato yote ya timu ila bado lazima kue na mfadhili, skulaumu kwa sababu unaongea kwa hisia ila mo akiondoka lazima simba itetereke vya kutosha, na lazima kue na sintofaham nyingi sana kwenye club
Mkuu kwaio wawekezaji hua wanaamua kuchoma pesa zao? Mf wamilik wa Psg/ City/ United etc
 
Simba tuna mabasi mangapi ile kampuni ilitoa mabasi mangapi Kuna lile tata liko wapi yutong la Kilimanjaro
 
Mkuu kwaio wawekezaji hua wanaamua kuchoma pesa zao? Mf wamilik wa Psg/ City/ United etc

Mara nyingi hua ni mapenzi ila wengine wana motives zao nyuma mfano za kisiasa ila hawapati faida, hata timu kama chelsea ukitoa mfadhili inaterereka sana, timu hata ikibalance mahesabu yake yote ela ya usajili lazima itoke kwa mfadhili
 
Mwamedi mjanja mjanja sana. Hivi zile bilioni ishirini aliziweka kwenye account ya nani? Hivi Simba kwanini haiweki hadharani annual financial reports zake ili mashabiki tufurahi?
Mbona klabu kubwa za Ulaya wanaweka wazi mapato yao kwa mwaka wameingiza kiasi gani na hawafichi kama kuna asala
 
Back
Top Bottom