Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

Bodi ya wakurugenzi ndiyo inapitisha bajeti ya usajiri, mfano Arsenal kuna kipindi Bodi ilitoa pesa nyingi za usajili lakini kocha akatumia pesa ndogo sana zingine zikabaki kwasababu babu wenga alikuwa hapendi kununua wachezaji wa bei kubwa, tofauti na Man city na Chelsea wao kocha akiitaji mchezaji tu Bodi kazi yake ni kuhakikisha mchezaji ana patikana.

pesa za usajili znatoka kwa mfadhili hata mashabiki wakiingia kwa mil 10 kila mmoja bado uendeshaji wa timu ni kazi ngumu, mashabiki hua tuna nadharia kwamba simba ni kubwa inaweza kujiendesha ila sio kwel, mpaka leo watu wanasema timu hizi mbili ni za wanachama lakini juzi tu apa battle ya mashabiki kuchangiana, japokua simba tulishinda ila ni kiasi gan kilipatikana? mil 100 hata kusajili haitoshi, hata kulipa tu mishahara kwa staff haitoshi, nguvu ya mashabiki na wanachama wa simba ni shilingi mil 100 na hio ni kwa promo za kufa mtu, sasa fikria hao ni mashabiki na wanachama wote wa simba wametoa mil 100 kwa kulazimishwa sana, mo anatoa kiasi gan kila mwaka kwa ajili ya uendeshaji wa timu? bil 3 kwa mwaka na bado timu inafanya vibaya unategemea nn?
 
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.
Wahindi ni janja janja sana.
 
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.
Kabla ya kuandika fanya utafiti..gari liko kwenye matengenezo ambayo yanafanywa na mdhamini kutokana na mkataba.
Mdhamini wa Bus ni Africarriers.
 
i have no idea tueleweshe tafadhalFINANCIAL FAIR PLAY

i have no idea tueleweshe tafadhal
FFP maana take financial fair play..ukielewa maana yako utaacha kusema sema kama comments zako za juu kua HATA ULAYA VITABU HAVIBALANCE,,ulaya ukitumia pesa zaidi ya ulizoingiza kwa msimu husika unafungiwa,ni KOSA angalia usajili wa Mbappe PSG wamelipa hela miaka 5 kwa kuogopa wangelipa Mara moja wangefungiwa..angalia kufungiwa kwa Chelsea, na kesi ya Man city, bwana mkataba Mkubwa wa udhamini(etihad)kuliko thamani halisi ya club...so mpira wa Tanzania usifananishe na ulaya..hapa haulipi but kwa wenzetu ni BIASHARA KUBWA,angalia familia ya glazer ilivyotajirika kupita MAN U
 
FFP maana take financial fair play..ukielewa maana yako utaacha kusema sema kama comments zako za juu kua HATA ULAYA VITABU HAVIBALANCE,,ulaya ukitumia pesa zaidi ya ulizoingiza kwa msimu husika unafungiwa,ni KOSA angalia usajili wa Mbappe PSG wamelipa hela miaka 5 kwa kuogopa wangelipa Mara moja wangefungiwa..angalia kufungiwa kwa Chelsea, na kesi ya Man city, bwana mkataba Mkubwa wa udhamini(etihad)kuliko thamani halisi ya club...so mpira wa Tanzania usifananishe na ulaya..hapa haulipi but kwa wenzetu ni BIASHARA KUBWA,angalia familia ya glazer ilivyotajirika kupita MAN U
una speculate sana, biashara ya mpira haipo ivo, na haiwezi kwenda ivo,

1671085257013.png
 
Financial Fair Play nenda kaisome nadhan hizo porojo unazozizungumzia hapa kwenye mpira wa kisasa hazina nafasi tena
wengi wenu apa nadhan mpira mmeanza miaka ya 90 mwishon ama azam alivoanza kuonyesha mpira, kwa ambao tushawahi kudeal na mpira sehem nyingi baran afrika tunajua mambo yanavoenda, amini nachokwambia wadhamini wa timu hawapati faida kama mnavodhan, ili nisiwee maneno mengi kasome apa

1671085289531.png
 
Niliwai kusema hapa ya kuwa hii mikataba ambayo hivi vilabu vinaingia na wanatutangazia uhalisia wake utaonekana muda sio mrefu na kinachotokea simba ndio uhalisia wenyewe wamekuwa na mambo mengi ya ujanja ujanja kuwadanganya wanachama wao juu ya mikataba wanayoingia kwa kuongeza sifuri kwenye ile mikataba lakini kiuhalisia ni uongo,, auwezi kuwa na akili timamu eti timu ina mikataba kama mbet b.26, matangazo ya mhindi wa bombay yamejaa kwenye jezi, na bado timu inapokonywa bus kwa kushindwa kumalizia malipo, na bado wachezaji wanalia njaa bonus zao imekuwa dana dana, na bado usajili wa wachezaji wanaangaliwa free agent au wachezaji wa milion 20 ndio wasajiliwe,,Uwekezaji gani wa ajabu ajabu namna hiyo? Bado zile b.20 za mwekezaji azijulikani ziliwekwa benk gani na zinafanya nini, maana zingekuwepo tusingekuwa tunaona aya yanayoendelea kwenye klabu,,Timu kubwa imebaki inakodi costal kuwapeleka mazoezini haina tofauti na maji maji ya songea,,Timu kubwa inakuwa haina kocha wa makipa, haina kocha mkuu wanakwenda kumuazima mgunda aje kupiga deiwaka? Kwakweli kuna vituko vinapatikana Tanzania pekee
Hukijui hata unachokiongea. Simba amepokonywa basi sio ameshindwa kulipa. Mkataba ulitaka simba ivae kifuani nembo ya africarries kwenye mashindano ambayo sio ya ligi kuu mfano FA cup. Sasa simba hakuvaa ina mana alikiuka masharti.

Simba haishindwi kununua basi la ml300 wewe. Ni kipindi cha mpito tuu
 
wengi wenu apa nadhan mpira mmeanza miaka ya 90 mwishon ama azam alivoanza kuonyesha mpira, kwa ambao tushawahi kudeal na mpira sehem nyingi baran afrika tunajua mambo yanavoenda, amini nachokwambia wadhamini wa timu hawapati faida kama mnavodhan, ili nisiwee maneno mengi kasome apa

View attachment 2447292
Kwahiyo FFP INA maana gani, inatumika vipi..
 
Habari ya asubuhi wana Simba. Nina mawili ya kusema:
  1. Hivi ni kweli Simba imepokonywa bus na wale wawekezaji? Kama ni kweli hii ni aibu kubwa kwa timu kubwa kama Simba kukosa bus la mil 200. Hebu imagine unamkataba na Azam, unamtangaza MO kwenye jezi za Simba, una mkataba na M-bet wa 26B. Mechi tu ya Simba vs Yanga mgao wake unatosha kununua bus lake kabisa bila kutumia mtu. Viongozi liangalieni hilo.
  2. Kama MO anataka kutoka Simba,. Viongozi wakijipanga Simba inaweza kujiendesha kupitia wawekezaji wengine kumuweka mtu mwekezaji kwenye jezi pale mbele ni hela ya maana. Simba ni kubwa, itabaki kuwa Simba hata kama MO anaondoka.
Uwekezaji gani wakati Dr. Haji Manara alipokuwa wakienda kwenye mechi za kimataifa walikuwa wanamlaza mapokezi, hawamlipii rumu!
 
Kwahiyo FFP INA maana gani, inatumika vipi..

not sure about it that much but balance sheet nyingi za club hua haziwi profit, ni kama tuseme labda chelsea inaweza kujiendesha kwa kutegemea mapato yake ya ndan bila kua na mdhamini its impossible
 
Kwahiyo FFP INA maana gani, inatumika vipi..

na hautakaa ukute tajiri yoyote ambae utajiri wake ulipatikana kupitia club, wengi hua wanakuja wakishakua na mapato yao na unapohesabu networth yake unahesabu pia na timu but in real sense haigizi chochote, ni sawa sawa na mtu aliejenga hoteli kubwa lakini wateja hamna. kwenye vitabu networth yake inasoma pakubwa but income ni 0 and even at most time hua anaingiza mpaka kwenye mikopo, you might be suprised kwamba vitu vingi duniani vinaendeshwa na credit, i will give you some example

- There are some big brands duniani ambazo mpaka leo hazijaanza kutengeza faida but watu wa nje wanadhan wanaingiza pesa nyingi mfano wa hizo kampuni ni YOUTUBE, UBER kwa wale ambao tulinunua hisa za hizi kampuni mpaka leo hazijawahi kutengeneza faida kwahio simba isikupe shida apo faida ndo wala usitegemee

- Mfumo wa credit mara nyingi ni ngumu sana kuubadilisha kwenda cash, mfano ukiskia tuseme bilgates ana utajiri wa $bil 100, maaana yake hizo ni credit na hawezi kuzibadilisha kwenda cash kama unavoenda kutoa ela benki, na kuna baadhi ya vitu itabidi akope kwa sababu hakuna namna, mfano elon musk alinunua twitter kwa mkopo pia,


- mpaka apo nadhan utakua umepata concept kidogo
 
na hautakaa ukute tajiri yoyote ambae utajiri wake ulipatikana kupitia club, wengi hua wanakuja wakishakua na mapato yao na unapohesabu networth yake unahesabu pia na timu but in real sense haigizi chochote, ni sawa sawa na mtu aliejenga hoteli kubwa lakini wateja hamna. kwenye vitabu networth yake inasoma pakubwa but income ni 0 and even at most time hua anaingiza mpaka kwenye mikopo, you might be suprised kwamba vitu vingi duniani vinaendeshwa na credit, i will give you some example

- There are some big brands duniani ambazo mpaka leo hazijaanza kutengeza faida but watu wa nje wanadhan wanaingiza pesa nyingi mfano wa hizo kampuni ni YOUTUBE, UBER kwa wale ambao tulinunua hisa za hizi kampuni mpaka leo hazijawahi kutengeneza faida kwahio simba isikupe shida apo faida ndo wala usitegemee

- Mfumo wa credit mara nyingi ni ngumu sana kuubadilisha kwenda cash, mfano ukiskia tuseme bilgates ana utajiri wa $bil 100, maaana yake hizo ni credit na hawezi kuzibadilisha kwenda cash kama unavoenda kutoa ela benki, na kuna baadhi ya vitu itabidi akope kwa sababu hakuna namna, mfano elon musk alinunua twitter kwa mkopo pia,


- mpaka apo nadhan utakua umepata concept kidogo
Concept ya nini wakati unaongea unajichanganya..unaenda mbele unarudi nyuma..suala la uber,Spotify kutotengeneza faida hiyo IPO na inajulikana kwa nini wenyewe wameweka wazi..usijichanganye
 
Turudi simba..walisema bajeti yako kwa mwaka billion 5..he mikataba yote ya udhamini waliyo nayo kwa mwaka hawapati zaidi?? Kumbuka mpira biashara kama biashara nyingine,hasara ipo...unajua benfica ya ureno inaingiza pesa ngapi kwa kuuza tu wachezaji??Ajax?? Dortmund???
 
Concept ya nini wakati unaongea unajichanganya..unaenda mbele unarudi nyuma..suala la uber,Spotify kutotengeneza faida hiyo IPO na inajulikana kwa nini wenyewe wameweka wazi..usijichanganye

my point is, usitishwe na mikataba ama ukubwa wa jina, watu wengi wana kariri kwamba simba ni kubwa sana kiasi kwamba lazima mo amepata faida so imebidi nikupe mfano wa mashirika makubwa kuliko hata simba na hayaingizi faida

- the base lini ni kwamba hakuna timu inaweza kujiendesha yenyewe
 
😂 😂 😂 😂 ivi ushawahi kujiuliza kwanini timu nyingi duniani zna mwekezaji na zna mapato? ukweli ni kwamba biashara ya mpira haina return kiuhalisia watu wanafanya uwekezaji kwa sababu ya mapenzi ila sio kwamba wanapata faida, ukijumlisha mapato yote ya timu ila bado lazima kue na mfadhili, skulaumu kwa sababu unaongea kwa hisia ila mo akiondoka lazima simba itetereke vya kutosha, na lazima kue na sintofaham nyingi sana kwenye club
Acha uongo fatilia manchester united ndio utajua mpira unalipa au haulipi.

Fatilia pia Real Madrid Arsenal ya Asernal wenger ingawa hawakuchukua vikombe vingi lakini walikuwa wanatengeneza faida ya kutosha

Simba hao tu baada ya kuingia makundi wataingiza 1.5bl+ wwanashindwa kununua basi jipya la milioni300?

Garama za uendeshaji wa virabu vya simba na yanga ni kama milion 500×12 ni kama bilion 6 kwa mwezi....
Je Simba Mbet, Azam, Vunjabei na Mo wanashindwa kutoa hizo pesa? Wakati Mbet tuliambiwa ni Bilion 5+ kwa mwaka?

Lakini mfano mwaka juzi yanga alibakiza mpaka change kwenye mahesabu yake wakati hawakuwa na udhamini wa maana !!!!

Tukubali tu kwanza simba kuna tatizo kwa Sasa simba ndio yakukosa hata basi la kikosi kwa wakina Shabibi kweli?
 
Back
Top Bottom